HAHAHAAA, hebu uliza kuhusu jambo jingine, mana kwa hizo wharf (bandari kavu) utapata aibu, zmejaa tele kama pishi la mchele, inaelkea huko nai ni kitu cha ajabu sana, coz umeuliza kwa bashasha ukidhani sisi hatuna, then ukaishia kua disappointed, shm
Hebu onesha tusi kwenye hiyo post. Au unahamu ya kutukanwa? Mtafute madam engineer from mombasa ndo anayaweza, mimi matusi kwetu mwiko. After all sinaga hulka ya kuiga mtu so ntaishi kama nipendavyo, nadhani umenielewa my lovely bro from kibera.
ukabila utatumaliza...the guys who were killed were attacking a police station in Bondo with rungus and sticks, so people like Alai were expecting the police to welcome the hooligans with champagne and red carpet...you enter a police station by force, what do you expect? popcorns and drinks?? 😀😀😀 kwa kujibu swali lako, everything is not OK in Kenya..Ukabila is happeningguys,is everything OK in kenya?....we are neighbours and we all have problems,let's share them....no need of pretending like you're living in heaven where everything is cool.
tell us what is going on there.
![]()
![]()
poleni sana...sisi huku kwa sasa tunanyoroshwa na sheria ya cybercrime....watu kwenye ma-group ya WhatsApp hawana raha wala amani.ukabila utatumaliza...the guys who were killed were attacking a police station in Bondo with rungus and sticks, so people like Alai were expecting the police to welcome the hooligans with champagne and red carpet...you enter a police station by force, what do you expect? popcorns and drinks?? 😀😀😀 kwa kujibu swali lako, everything is not OK in Kenya..Ukabila is happening
😀😀😀 mpaka whatsapp wamefika?? lakini afadhali nyinyi...sisi hatujui kama kuna uchaguzi ama hakuna...hata rais mwenyewe hajui...sembuse mwananchi...😀😀😀😀sometimes I hate this continent called Africa...poleni sana...sisi huku kwa sasa tunanyoroshwa na sheria ya cybercrime....watu kwenye ma-group ya WhatsApp hawana raha wala amani.
ukiandika au ku-share jambo lolote kwenye group halafu ikatokea kutowafurahisha wenye mamlaka,basi jua lazima utafikishwa police station.
kwenye ma-group kuna ma-snitch ambao kazi yao ni ku-screenshot na kutuma TCRA(tanzania commutation regulatory authority).
imasemekana vijana wengi wana kesi polisi kwa makosa mbalimbali ya kukiuka sheria ya cybercrime.
TCRA haina access ya ku-control WhatsApp, ila katika sheria ya cybercrime nadhani kuna kifungu kidogo cha sheria ambacho kinamtaka admin wa group ku-report jambo lolote ambalo limetamkwa na sheria kama ni kosa la kimtandao.😀😀😀 mpaka whatsapp wamefika?? lakini afadhali nyinyi...sisi hatujui kama kuna uchaguzi ama hakuna...hata rais mwenyewe hajui...sembuse mwananchi...😀😀😀😀sometimes I hate this continent called Africa...
mungu wangu!!!...hatari sana...jamani msifike huko majirani.Ukweli wa mambo ni haya. ...mungiki wamepewa silaha na sare na Kenyatta. ...tukumbuke alikuwa ICC kwa sababu ya haya
![]()
![]()
OMG tuweken utan pemben, this z too sad jaman, siasa za Africa zinasikitsha sana kwakel, watu wengi wanapoteza maisha kwajil ya mtu mmoja kuchukua uongoz,Ukweli wa mambo ni haya. ...mungiki wamepewa silaha na sare na Kenyatta. ...tukumbuke alikuwa ICC kwa sababu ya haya
![]()
![]()
is she her mother in-law or what?...cute kenyan girl.meanwhile in LOKICHOGIO😀😀CC@1academ
![]()
Right.You should understand the question asked before you open your big mouth to laugh, I don't think if there is ICD in dar ,labda mjenge kule Dodoma or mbeya ,what is in dar is called CSF(container storage facility) not ICD Mombasa we have quite a number of them ,and they are not ICD ,our Nairobi ICD is different cause its owned wholly by the government ,CSF are privately owned. key word here is Inland.