Jay456watt
JF-Expert Member
- Aug 23, 2016
- 10,356
- 7,994
JKIA
umechange topic sasa renders zimekushinda😀😀😀😀😀😀😀sawa ndugu ila try help me here a little😀😀😀😀what does this map signify? jirani ni kusaidiana😀😀
![]()
si unisaidie basi kujibu swali hilo kisha nitarudi kwa topic ndugu tafadhali.😀😀😀umechange topic sasa renders zimekushinda😀😀😀😀😀😀😀
wallah napenda renders unazotuonesha😛😛😛😛😛
Wakenya si watu wa kujifunza kutokana na makosa ya nyuma, pia sio watu wanaopenda kujiuliza na kujifunza kwa majirani, kwa ufupi ni watu wagumu sana kupokea ushahurimungu pokea roho za wakenya waliofariki katika ajari hiyo.
NB:
kwa mwaka huu hii itakuwa ni mara ya tatu au nne kwa jengo la gorofa kuporomoka na kuuwa watu nchini kenya.
hapa lazima kutakuwa na tatizo la kitaaluma katika secta ya wahandisi wanaosimania ujenzi wa majengo nchini kenya.
wakenya kagueni vyeti vya kitaaluma vya hao wahandisi wenu wanaosimamia ujenzi wa majengo yenu ya gorofa.
haiwezekeni majanga ya aina hii yawe yanaikumba kenya zaidi kuliko nchi yoyote EA.
kwa upande wa inland container depot(ICDs),dar es salaam zipo zaidi ya kumi.Nairobi dry port.(inland container depot)..do you hav this in tz? 😀😀😀😀
![]()
![]()
![]()
tupe update za demonstration... achana na huyo marehemu.
Which highway is that.....waiyaki way or?JKIA Rironi highway constriction starts...It has LRT and BRT special lanes...
![]()
![]()
![]()
Hujamaliza mambo ya renders unaleta mengine😀😀si unisaidie basi kujibu swali hilo kisha nitarudi kwa topic ndugu tafadhali.😀😀😀
kama ni hivyo,basi acha majengo yaendelee kuwabomokea.Wakenya si watu wa kujifunza kutokana na makosa ya nyuma, pia sio watu wanaopenda kujiuliza na kujifunza kwa majirani, kwa ufupi ni watu wagumu sana kupokea ushahuri
kweli kabisa.....mwambie huyo anadhani hapa watu wamekuja kukurupuka.....
soon naattack social network zakikenya....nategea time tu
an AIC chong'ombe choir from dar es salaam singing a prayer song for peace and unity in kenya.
Chokoraa umeanza kujihisi wa kimataifa. .....nenda taratibu usijikwae
nashukuru boss mbona kote nipo...ila nipo naubize wangu mazee maana nikiingia nitakuja kuchafua mazingiraHAHAHAAA, hebu uliza kuhusu jambo jingine, mana kwa hizo wharf (bandari kavu) utapata aibu, zmejaa tele kama pishi la mchele, inaelkea huko nai ni kitu cha ajabu sana, coz umeuliza kwa bashasha ukidhani sisi hatuna, then ukaishia kua disappointed, shmNairobi dry port.(inland container depot)..do you hav this in tz? 😀😀😀😀
![]()
![]()
![]()
sawa...ila tulia...hasira nyingi na matusi hazitakusaidia...waige wenzako kina ichoboy na kadoda..HAHAHAAA, hebu uliza kuhusu jambo jingine, mana kwa hizo wharf (bandari kavu) utapata aibu, zmejaa tele kama pishi la mchele, inaelkea huko nai ni kitu cha ajabu sana, coz umeuliza kwa bashasha ukidhani sisi hatuna, then ukaishia kua disappointed, shm
mwisho wa siku hawa ni jirani zetu tu...yakitokea machafuko kwao nchi ya kwanza kubeba mzigo wa kuwasaidia ni tanzania na mikoa ya kwanza itakayoanza kupokea mafuriko ya wakimbizi ni arusha,kilimanjaro na tanga kwa upande wa mombasa.umetisha kadoda ndiyo wajue kama sisi si watu wa roho mbaya ama roho za ajabu zenye chuki kama wao![]()
![]()
peace 4 kenya