Jay456watt
JF-Expert Member
- Aug 23, 2016
- 10,356
- 7,994
😀😀umekuwa jirani mzuri eti...😀😀mwisho wa siku hawa ni jirani zetu tu...yakitokea machafuko kwao nchi ya kwanza kubeba mzigo wa kuwasaidia ni tanzania na mikoa ya kwanza itakayoanza kupokea mafuriko ya wakimbizi ni arusha,kilimanjaro na tanga kwa upande wa mombasa.
hivyo basi hatuna budi kuwaombea amani.

