Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Vipingo Mombasa
FB_IMG_16755868139822802.jpg
FB_IMG_16755869647943263.jpg
kenya_tuesdaymr015_52661216203_o-768x454.jpg
kenya_tuesdaymr064_52660831571_o-768x474.jpg
kenya_tuesdaymr083_52660830471_o-768x476.jpg
FB_IMG_16755864215077846.jpg
 
Kama mnavyosifia KDF blindly wakati mnajua wazi kwamba ni useless army
Dummy jeshi lenu lipo drc kwa miaka bila mafanikio yeyote to write about. Kdf imekua drc miezi miwili pekee na mafanikio yanaonekana bila hata kufyatua risasi. Kama hungekua mjinga ungeweza kutambua jeshi ovyo hapo
 
Mombasa na dar hazijaachana na mbali, ukiacha blind patriotism utaona hilo
Sio blind patriotism Mombasa ni low budget Dar...Ukiangalia iyo sehemu nyumba nyingi ni za ghorofa 3 hadi 5 ,wakati Ilala boma yenyewe sahv imejaa majengo ya kati ya 5 to 10 floor's mengi...hujaenda Kariakoo na maeneo mengine ya jiji...
Nachokueleza ni Hakika sio uzalendo mafi

Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
 
Sio blind patriotism Mombasa ni low budget Dar...Ukiangalia iyo sehemu nyumba nyingi ni za ghorofa 3 hadi 5 ,wakati Ilala boma yenyewe sahv imejaa majengo ya kati ya 5 to 10 floor's mengi...hujaenda Kariakoo na maeneo mengine ya jiji...
Nachokueleza ni Hakika sio uzalendo mafi

Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
Just like Mombasa, dar pia majority ya majengo mengi hayafiki 10 floors. High-rises ni moja moja hayako concentrated in one area. Lete aerial view ya dar ulinganishe na hiyo ya Mombasa
 
Dummy jeshi lenu lipo drc kwa miaka bila mafanikio yeyote to write about. Kdf imekua drc miezi miwili pekee na mafanikio yanaonekana bila hata kufyatua risasi. Kama hungekua mjinga ungeweza kutambua jeshi ovyo hapo
Hahaha, wewe ni pimbi Sana, Kila kukicha M23 wanazidi kuteka miji na vijiji, KDF wameufyata mkia wanaogopa hata kufyetua risasi kwa kuogopa kushambuliwa, Sasa walifuata nini huko DRC?
 
Hahaha, wewe ni pimbi Sana, Kila kukicha M23 wanazidi kuteka miji na vijiji, KDF wameufyata mkia wanaogopa hata kufyetua risasi kwa kuogopa kushambuliwa, Sasa walifuata nini huko DRC?
Jeshi lenu, la uganda n.k...hadi majeshi ya s.sudan yapo drc ila wewe pimbi mkubwa unaona tu jeshi la kenya. We unawashwa na inferiority complex wacha nikuache
 
Dummy jeshi lenu lipo drc kwa miaka bila mafanikio yeyote to write about. Kdf imekua drc miezi miwili pekee na mafanikio yanaonekana bila hata kufyatua risasi. Kama hungekua mjinga ungeweza kutambua jeshi ovyo hapo
Ninyi wakenya ni wapumbavu Sana, mnapenda kujisifu Sana wakati hamna uwezo wowote, hayo mafanikio ya KDF mnayosema yako wapi, huko Goma KDF hawatakiwi na raia baada ya kushindwa kazi, Kama mlivyoshindwa South Sudan Hadi kufukuzwa na UN
 
Jeshi lenu, la uganda n.k...hadi majeshi ya s.sudan yapo drc ila wewe pimbi mkubwa unaona tu jeshi la kenya. We unawashwa na inferiority complex wacha nikuache
KDF hamtakiwi, ondokeni mrudi kwenu, mumefika DRC sio zaidi ya miezi 4, lakini tayari raia hawawakubali.
 
Back
Top Bottom