Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Just like Mombasa, dar pia majority ya majengo mengi hayafiki 10 floors. High-rises ni moja moja hayako concentrated in one area. Lete aerial view ya dar ulinganishe na hiyo ya Mombasa
🤣🤣🤣🤣 mombasa ipi budaa hio inayonuka mikojo na mavi hapo CBD mombasa ambayo haina maji kwenye majumba ya watu hvi ww unaona watu wote wajinga sana
 
Just like Mombasa, dar pia majority ya majengo mengi hayafiki 10 floors. High-rises ni moja moja hayako concentrated in one area. Lete aerial view ya dar ulinganishe na hiyo ya Mombasa
Haya
20230205_132704.jpg


Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
 
Tundu Lissu's narration on how Magufuli tried to kill him
Magufuli hachafuki kirahisi hivyo, huyu ni kipenzi cha watanzania kwa muda wote, hamjishangai kila mkitumwa mumchafue nyie machawa lkn wapiii wananchi bado wanampenda na wanamkumbuka sanaa.

Huwezi kubadili nyekundu kuwa njano na huwezi kupindua mema aliyoyafanya Magufuli kisa alitaka kumuua Lissu, huyo Lissu hata ningekuwa mimi ndiye raisi alafu ananitukana namna ile nisingemuacha piga ua, ningepita naye mapema sn kuliko hata Magu. Huyo Lissu kwanza hana adabu, ni kweli ana uwezo kiakili lkn hana adabu na ndiyo maana hawezi kuja kuwa Rais wa nchi hata akawange uchi.
 
Magufuli hachafuki kirahisi hivyo, huyu ni kipenzi cha watanzania kwa muda wote, hamjishangai kila mkitumwa mumchafue nyie machawa lkn wapiii wananchi bado wanampenda na wanamkumbuka sanaa.

Huwezi kubadili nyekundu kuwa njano na huwezi kupindua mema aliyoyafanya Magufuli kisa alitaka kumuua Lissu, huyo Lissu hata ningekuwa mimi ndiye raisi alafu ananitukana namna ile nisingemuacha piga ua, ningepita naye mapema sn kuliko hata Magu. Huyo Lissu kwanza hana adabu, ni kweli ana uwezo kiakili lkn hana adabu na ndiyo maana hawezi kuja kuwa Rais wa nchi hata akawange uchi.
Wewe ni mbinafsi sana
Unataka Tundu Lissu amheshimu JPM kwa lipi?Ye JPM alikua anamheshimu nani? Respect is earned not Given. Muache Lissu aeleze yaliomkuta maana hayo ni maisha yake,hakuna mwenye haki ya kumuua mwengine Ndio maana hata Vitabu vimeandika USIUE,hakuna mahali kumeandikwa ukiwa Raisi UA.

Sasa kama JPM alikua mchafu asiseme? Wewe kama umeamua kuangalia mazuri yake tu Usimpangie yeye ameamua kuyaona mapungufu yake Pia

Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
 
Magufuli hachafuki kirahisi hivyo, huyu ni kipenzi cha watanzania kwa muda wote, hamjishangai kila mkitumwa mumchafue nyie machawa lkn wapiii wananchi bado wanampenda na wanamkumbuka sanaa.

Huwezi kubadili nyekundu kuwa njano na huwezi kupindua mema aliyoyafanya Magufuli kisa alitaka kumuua Lissu, huyo Lissu hata ningekuwa mimi ndiye raisi alafu ananitukana namna ile nisingemuacha piga ua, ningepita naye mapema sn kuliko hata Magu. Huyo Lissu kwanza hana adabu, ni kweli ana uwezo kiakili lkn hana adabu na ndiyo maana hawezi kuja kuwa Rais wa nchi hata akawange uchi.
Nakuomba acha kubishana na hawa. Achana nao.
 
Back
Top Bottom