Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

shida huyo jamaa wenu haezi kiingereza...ndio maana anasikika tu hapa EA...wale kina wizkid wapo level ingine bana...si level ya machokoraa toka Tandale
emoji23.png
emoji23.png

Huyo unaemsema hajui english ana pesa ya kukulisha wewe na mkeo hapo mathare mpaka mnakufa, the big deal is not about language but money you make, pamoja na english yenu mbona mmejazana hapo kibera? Diamond hajui english but ana maisha bora kuliko 80% ya population yote ya kenya.

Naona umeumia sana kusikia jamaa anafanya ngoma na international stars, hiyo ndo big deal, sio wasanii wenu wanajua english still nyimbo zao zinaishia kupigwa kibera na mathare, hahahaaaa, pole sana ila kumbuka wivu ni kidonda ukishiriki utakonda. Kumuonea wivu mond ni kujitafutia magonjwa ya moyo bila sababu coz he will always be disappointing you, as he will always be making big deals n money. Acha wivu wa kike, kama unahasira sana kajiunge alshabab ujitoe muhanga.
 
Mimi natambua King kiba. ....na Darassa.wengine ni wa kawaida tu....ata Rayvanny siku hizi hatoi hit..... nilipenda kijuso,zezeta na Ile collabo yake na bahati.
 
zamani nikiwa primary school nilikuwa na mentality potofu sana.

nilidhani kila anayezungumza kingereza ni mwerevu.kumbe sikuwa sahihi.

nilipofika nairobi kwa mara kwanza nilistaajabu sana,nilikutana na baadhi ya vijana wa kikenya wapo so eloquent kwenye kingereza lakini ni wajinga sana.

hata ukifanya nao discussion ya kawaida tu, it was so easy for me know that i was discussing with a nincompoop.

vichwa vyao vilikuwa vizito sana(thick headed)katika kuchanganua mambo.





....mbona werevu wako hauonekani hapa jf. ..labda wa kijiji chako waweza kuwahadaa
 
Huyo unaemsema hajui english ana pesa ya kukulisha wewe na mkeo hapo mathare mpaka mnakufa, the big deal is not about language but money you make, pamoja na english yenu mbona mmejazana hapo kibera? Diamond hajui english but ana maisha bora kuliko 80% ya population yote ya kenya.

Naona umeumia sana kusikia jamaa anafanya ngoma na international stars, hiyo ndo big deal, sio wasanii wenu wanajua english still nyimbo zao zinaishia kupigwa kibera na mathare, hahahaaaa, pole sana ila kumbuka wivu ni kidonda ukishiriki utakonda. Kumuonea wivu mond ni kujitafutia magonjwa ya moyo bila sababu coz he will always be disappointing you, as he will always be making big deals n money. Acha wivu wa kike, kama unahasira sana kajiunge alshabab ujitoe muhanga.
pumbavuu wa Tandale ww...mshamba Diamond atakulisha wewe na chokoraa wenzako...
 
Back
Top Bottom