Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mlima kilimanjaro washinda tuzo ya kivutio bora africa kwa miaka minne mfululizo.. asante tanzania
View attachment 607669
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
hizi tuzo huwa zinashindwa kote duniani kila dakika ndugu...wacha aibu ndogo ndogo
 
untitled-jpg.455922

Ngosha, sasa hizi data si ndio tuliambiwa ni SIRI - usije ukatuponzamo kwa kweli, yaani unawataja na walio toa mahela hadhalani kweli? iiiii
 
KENYA: Watu 2 wamefariki na wengine 30 wanahofiwa kunasa kwenye kifusi baada ya jengo la ghorofa nne kuanguka kwenye mji wa Kisii.

- Watu 26 wameokolewa kutoka kwenye kifusi na kukimbizwa hospitali, juhudi za uokoaji bado zinaendelea

Zaidi, soma => Two dead, 14 admitted as five storey building collapses in Kisii
View attachment 607727
mungu pokea roho za wakenya waliofariki katika ajari hiyo.

NB:
kwa mwaka huu hii itakuwa ni mara ya tatu au nne kwa jengo la gorofa kuporomoka na kuuwa watu nchini kenya.

hapa lazima kutakuwa na tatizo la kitaaluma katika secta ya wahandisi wanaosimania ujenzi wa majengo nchini kenya.

wakenya kagueni vyeti vya kitaaluma vya hao wahandisi wenu wanaosimamia ujenzi wa majengo yenu ya gorofa.

haiwezekeni majanga ya aina hii yawe yanaikumba kenya zaidi kuliko nchi yoyote EA.
 
Hawa wakenya ni wakuwasamehe tu, halafu wanafaninsha elimu ya bongo na kenya, shm.

Madai yao kujua english ndo kila kitu, lol, hawajui kua siku zote fikra sahihi huja kwa lugha sahihi, yani kama wewe ni mjaluo huwez kuwaza kwa kimakonde.

Hebu nenda china, france, korea, india, german, and so many many other developed countries uone ka darasani wanatumia english halafu wewe umelala hapo kibera na english yako kichwani, mko wajinga sana, ulimbukeni utawaua, yani mnavoringa na hiyo english as if its a very big deal au ni lugha iliyotokea kenya au as if nyie ndo wakwanza kujua english dunia nzima. Halafu english yenyewe mnaiongea kwa lafudhi ya makabila yenu, yan ni kazi kutofaitisha mnapoongea english na kijaluo or your other mother tongues.
 
Back
Top Bottom