Jay456watt
JF-Expert Member
- Aug 23, 2016
- 10,356
- 7,994
this is quality music...sio hivyo vijiswahili vyenu vya peni mbili...
Sasa diamond hua anaiba nini? Heri Ali kiba hua anaelewekaMpumbavu kweli wewe, unadhani Rick Ross the Boss ni mjinga kukubali collabo na Diamond platinumz?
Tell nameless to feature Morgan Heritage if he can,
Or go to YouTube and see the number of views kwenye huo wimbo unaoponda hapa, then bring any Kenyan artist with such record, mifi kabisa veve.
haya wachana na wizkid....unamjua Ice prince??
huwa pia naskiza za Kiswahili ila taarab pekee yake....sio upuuzi wa Diamondkiingereza ndiyo kukigusia lazima....ila ukikigusia nyimbo nzima.....unapotea kwani mziki wa aina ile niwakwao nawameshauzoea yaani utakuwa huna jipya endapo ukitumia full english
yaani majungu sikuzote humfanikisha mtu afike juu zaidi kuliko sifa nzuri...bonglo flava lol!! who the hell listens to Bongo flava if not for househelps and chokoraas??

hapo nakubaliana nawe...Sarkodie is on fire...huyu ni motooonamjua kwa upande wake anafanya vizuri ila rapper mbaya ambaye jina lipo kwa africa angalau anaweza kuwanyonya marapper wa marekani kidogo ni salkodie na hii yote ni kutokana na mitapiko ya flow zake anavyomix kighana na english kwa ile voko yake
nadhani uliona jinsi ACE HOOD alivyofanywa Ila wengine ni soft kiasi cha kwamba dizain ya rapper wa aina hyo wapo almost dunia nzima ila hawajapata nafasi tu
Kwaiyo unamaanisha alivyokutana na Ne-Yo na Morgan Heritage na Rick Ross the Boss walizungumza na kuelewana kwa Kijaluo? Hivi huko mashuleni mnafundishwa ujinga pia?shida huyo jamaa wenu haezi kiingereza...ndio maana anasikika tu hapa EA...wale kina wizkid wapo level ingine bana...si level ya machokoraa toka Tandale![]()
![]()
pumbavuuu...Diamond ameimba wimbo upi wa Kiingereza??Kwaiyo unamaanisha alivyokutana na Ne-Yo na Morgan Heritage na Rick Ross the Boss walizungumza na kuelewana kwa Kijaluo? Hivi huko mashuleni mnafundishwa ujinga pia?
tiyar na atapotea tu soon...yaan atakosa mashabiki kuanzia kenya,east africa,africa pia na duniamwambieni caligraph jones kuwa mimi ni shabiki wake namba moja hapa tanzania ila aache kuigiza umarekani....awe real kama mkenya.
hata aige vipi namna ya kuongea kingereza kama wamerekani weusi wa bronx au harlem,atabaki tu kuwa mkenya.
kuigiza umarekani haitakuja kumjenga...sana sana mwisho wa siku watu watamuona mjinga.
by the way, kiukweli, Bongo hapa ninapoishi hamna anayeiskiza...pengine tu ma househelps na washamba wa ochayaani majungu sikuzote humfanikisha mtu afike juu zaidi kuliko sifa nzuri...![]()
![]()
![]()
Kwaiyo unamaanisha alivyokutana na Ne-Yo na Morgan Heritage na Rick Ross the Boss walizungumza na kuelewana kwa Kijaluo? Hivi huko mashuleni mnafundishwa ujinga pia?

Wewe unataka wasani wote east africa waimbe kama Diamond????.... Jinga sanamwambieni caligraph jones kuwa mimi ni shabiki wake namba moja hapa tanzania ila aache kuigiza umarekani....awe real kama mkenya.
hata aige vipi namna ya kuongea kingereza kama wamerekani weusi wa bronx au harlem,atabaki tu kuwa mkenya.
kuigiza umarekani haitakuja kumjenga...sana sana mwisho wa siku watu watamuona mjinga.
Hatuna watanzania wenye akili finyu kama weweUmeona nikisema mie mtanzania? no wonder hamna akili maana kwelewa kwenu ni tatizo.
Tunachua =Tunajua ,shuleni ulienda kula vishetiTunachua wewe ni kichaa
kama wakenya wanaosikiliza bongofleva ni ma-housemaid na machokora,basi hawa hapa chini ni majowao,wote ni wakenya na hawaachi kuongeza views kwenye videos za bongofleva katika mtandao wa youtube.bonglo flava lol!! who the hell listens to Bongo flava if not for househelps and chokoraas??
yote sawa silazima kila mtu aweze kusikiliza......kila mtu anamapenzi na kitu akipendachoby the way, kiukweli, Bongo hapa ninapoishi hamna anayeiskiza...pengine tu ma househelps na washamba wa ocha