Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mpumbavu kweli wewe, unadhani Rick Ross the Boss ni mjinga kukubali collabo na Diamond platinumz?
Tell nameless to feature Morgan Heritage if he can,
Or go to YouTube and see the number of views kwenye huo wimbo unaoponda hapa, then bring any Kenyan artist with such record, mifi kabisa veve.
Sasa diamond hua anaiba nini? Heri Ali kiba hua anaeleweka
 
haya wachana na wizkid....unamjua Ice prince??


namjua kwa upande wake anafanya vizuri ila rapper mbaya ambaye jina lipo kwa africa angalau anaweza kuwanyonya marapper wa marekani kidogo ni salkodie na hii yote ni kutokana na mitapiko ya flow zake anavyomix kighana na english kwa ile voko yake

nadhani uliona jinsi ACE HOOD alivyofanywa Ila wengine ni soft kiasi cha kwamba dizain ya rapper wa aina hyo wapo almost dunia nzima ila hawajapata nafasi tu
 
kiingereza ndiyo kukigusia lazima....ila ukikigusia nyimbo nzima.....unapotea kwani mziki wa aina ile niwakwao nawameshauzoea yaani utakuwa huna jipya endapo ukitumia full english
huwa pia naskiza za Kiswahili ila taarab pekee yake....sio upuuzi wa Diamond
 
namjua kwa upande wake anafanya vizuri ila rapper mbaya ambaye jina lipo kwa africa angalau anaweza kuwanyonya marapper wa marekani kidogo ni salkodie na hii yote ni kutokana na mitapiko ya flow zake anavyomix kighana na english kwa ile voko yake

nadhani uliona jinsi ACE HOOD alivyofanywa Ila wengine ni soft kiasi cha kwamba dizain ya rapper wa aina hyo wapo almost dunia nzima ila hawajapata nafasi tu
hapo nakubaliana nawe...Sarkodie is on fire...huyu ni motooo
 
shida huyo jamaa wenu haezi kiingereza...ndio maana anasikika tu hapa EA...wale kina wizkid wapo level ingine bana...si level ya machokoraa toka Tandale
emoji23.png
emoji23.png
Kwaiyo unamaanisha alivyokutana na Ne-Yo na Morgan Heritage na Rick Ross the Boss walizungumza na kuelewana kwa Kijaluo? Hivi huko mashuleni mnafundishwa ujinga pia?
 
Kwaiyo unamaanisha alivyokutana na Ne-Yo na Morgan Heritage na Rick Ross the Boss walizungumza na kuelewana kwa Kijaluo? Hivi huko mashuleni mnafundishwa ujinga pia?
pumbavuuu...Diamond ameimba wimbo upi wa Kiingereza??
 
mwambieni caligraph jones kuwa mimi ni shabiki wake namba moja hapa tanzania ila aache kuigiza umarekani....awe real kama mkenya.

hata aige vipi namna ya kuongea kingereza kama wamerekani weusi wa bronx au harlem,atabaki tu kuwa mkenya.

kuigiza umarekani haitakuja kumjenga...sana sana mwisho wa siku watu watamuona mjinga.
tiyar na atapotea tu soon...yaan atakosa mashabiki kuanzia kenya,east africa,africa pia na dunia
 
mwambieni caligraph jones kuwa mimi ni shabiki wake namba moja hapa tanzania ila aache kuigiza umarekani....awe real kama mkenya.

hata aige vipi namna ya kuongea kingereza kama wamerekani weusi wa bronx au harlem,atabaki tu kuwa mkenya.

kuigiza umarekani haitakuja kumjenga...sana sana mwisho wa siku watu watamuona mjinga.
Wewe unataka wasani wote east africa waimbe kama Diamond????.... Jinga sana
 
bonglo flava lol!! who the hell listens to Bongo flava if not for househelps and chokoraas??
kama wakenya wanaosikiliza bongofleva ni ma-housemaid na machokora,basi hawa hapa chini ni majowao,wote ni wakenya na hawaachi kuongeza views kwenye videos za bongofleva katika mtandao wa youtube.

7747a9db3d121d794f32d7c9905dbfc4.jpg
c359c36661a2ccd03dbdcdfaa5ad1f61.jpg
a072ec59cc4935fd1759038c801f3fd3.jpg
ece2b4fec5b5160b666533e0f8aa1f28.jpg
e0cfdac908f255071eca028c230eca15.jpg
76f05498e30f40c1e7bd9308b42f0119.jpg
b6f9ce502b096c5cd5697c496a8ab97d.jpg
779c305a23fbe80f3973785619c14feb.jpg
b5937b79f21f3ffe2ee757f5eecaa086.jpg
ddccc5c3fb2bc265239ee7b11575fbb2.jpg
9593f887b54f1ecf63ae66be535b75e8.jpg
fe4186bb4e4a50b08e95fd1fedc562e5.jpg
bda6b74388ee2176c574a02cbd3cf1cf.jpg
0c85d07355c7f9f2d091f41abc255f84.jpg
c4d725c2318b34eebc0881802cdc62f1.jpg
417d23a4acced47daed45609d88fae07.jpg
e408305e90e84518c6c08ab355e0f0c9.jpg
 
Back
Top Bottom