Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

kama wakenya wanaosikiliza bongofleva ni ma-housemaid na machokora,basi hawa hapa chini ni majowao,wote ni wakenya na wahaachi kuongeza views kwenye videos za bongofleva katika mitandao wa youtube.

7747a9db3d121d794f32d7c9905dbfc4.jpg
c359c36661a2ccd03dbdcdfaa5ad1f61.jpg
a072ec59cc4935fd1759038c801f3fd3.jpg
ece2b4fec5b5160b666533e0f8aa1f28.jpg
e0cfdac908f255071eca028c230eca15.jpg
76f05498e30f40c1e7bd9308b42f0119.jpg
b6f9ce502b096c5cd5697c496a8ab97d.jpg
779c305a23fbe80f3973785619c14feb.jpg
b5937b79f21f3ffe2ee757f5eecaa086.jpg
ddccc5c3fb2bc265239ee7b11575fbb2.jpg
9593f887b54f1ecf63ae66be535b75e8.jpg
fe4186bb4e4a50b08e95fd1fedc562e5.jpg
bda6b74388ee2176c574a02cbd3cf1cf.jpg
0c85d07355c7f9f2d091f41abc255f84.jpg
c4d725c2318b34eebc0881802cdc62f1.jpg
417d23a4acced47daed45609d88fae07.jpg
e408305e90e84518c6c08ab355e0f0c9.jpg
aise hao mahousehelp ni wengi sana.....hongera yao wakenya kwa kuwa na househelp wenye faida...
 
Sasa diamond hua anaiba nini? Heri Ali kiba hua anaeleweka
anaiba?...we mkikuyu mjinga,jifunze kwanza lugha ya kiswahili ndio ujadiliane na mimi.

hukutakiwa kuandika "anaiba"...ulitakiwa uandike "anaimba".

anakushinda hata collomzii,siku hizi yupo vizuri kiasi kwenye kiswahili.
 
anaiba?...we mkikuyu mjinga,jifunze kwanza lugha ya kiswahili ndio ujadiliane na mimi.

hukutakiwa kuandika "anaiba"...ulitakiwa aandike anaimba.

anakushinda hata collomzii,siku yupo vizuri kiasi kwenye kiswahili.
 
anaiba?...we mkikuyu mjinga,jifunze kwanza lugha ya kiswahili ndio ujadiliane na mimi.

hukutakiwa kuandika "anaiba"...ulitakiwa aandike anaimba.

anakushinda hata collomzii,siku yupo vizuri kiasi kwenye kiswahili.
Mama wewe kiswahili ndio nini?
 
Darassa ako sawa....Ali Kiba tena sana...Vanessa Mdee respect...na ile group sijui wanajiita aje...group ya mwanadada na jamaa flani wameimba kamatia chini... wako poa sana...wengine wote washamba
 
huwa nasema kila siku,elimu ya kenya hijasaidia kuwatoa vijana wengi wa kenya katika kundi la wajinga.asante comrade kwa kuliona hilo.
usifananishe elimu ya Kenya na elimu ya Bongo ww...aibu tupu...
emoji23.png
emoji23.png
watu ambao mnafunza kila kitu kwa Swahili...lol! yaani mpaka Chemistry na Physics mnafunzwa kivipi?
emoji23.png
emoji23.png
elimu ya kijinga sana hio
 
kama elimu yenu ni bora,mbona mna ujinga sana?...au elimu yenu ime-concentrate katika kuwafunza kingereza pekee?.smh.
wajinga huwa wanaelewana vizuri na wajinga wenzao....kama mkenya mjinga, mtz mjinga mara tatu
emoji23.png
emoji23.png
kisha wewe mtu wa kuleta oicha za kibera na kupiga makofi kana kwamba sijui una matatizo ya kiakili ndio mwerevu?
emoji23.png
emoji23.png
kama ww ndio mwerevu basi nawaonea huruma wengine...
emoji23.png
emoji23.png
 
wajinga huwa wanaelewana vizuri na wajinga wenzao....kama mkenya mjinga, mtz mjinga time three
zamani nikiwa primary school nilikuwa na mentality potofu sana.

nilidhani kila anayezungumza kingereza ni mwerevu.kumbe sikuwa sahihi.

nilipofika nairobi kwa mara kwanza nilistaajabu sana,nilikutana na baadhi ya vijana wa kikenya wapo so eloquent kwenye kingereza lakini ni wajinga sana.

hata ukifanya nao discussion ya kawaida tu, it was so easy for me know that i was discussing with a nincompoop.

vichwa vyao vilikuwa vizito sana(thick headed)katika kuchanganua mambo.
 
zamani nikiwa primary school nilikuwa na mentality potofu sana.

nilidhani kila anayezungumza kingereza ni mwerevu.kumbe sikuwa sahihi.

nilipofika nairobi kwa mara kwanza nilistaajabu sana,nilikutana na baadhi ya vijana wa kikenya wapo so eloquent kwenye kingereza lakini ni wajinga sana.

hata ukifanya nao discussion ya kawaida, it was so easy for me know that i was discussing with a nincompoop.

vichwa vyao nilikuwa vizito sana(thick headed)katika kuchanganua mambo.
kuzungumza Kiingereza kizuri sio kipimo cha werevu...hapo nakubaliana nawe...ila ujinga ni kuleta picha za Kibera na kupiga makofi...huo ndio ujinga...
 
Back
Top Bottom