Jay456watt
JF-Expert Member
- Aug 23, 2016
- 10,356
- 7,994
sawa chokoraandiyo maana nakuambia huna jambo bora utafute shughuli za kufanya upike vitumbua ama endelea kupost cbd za hapo nairobi....mpaka uzee wako[emoji13] [emoji13] [emoji30] [emoji30]
sawa chokoraandiyo maana nakuambia huna jambo bora utafute shughuli za kufanya upike vitumbua ama endelea kupost cbd za hapo nairobi....mpaka uzee wako[emoji13] [emoji13] [emoji30] [emoji30]
sawa naona umebadilika...kujia kinywaji baridi December..hiyo ni hofu yako tu "msee"...mimi ni mtu cool sana.[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Ni kweli mkuu, nadhani nimenukuu vibayatupo namba2 hapo.....kipindi cha nyuma sana kwa upande wa hiphop tulikuwa namba1 na ilitubeba because we have our own music na watunz bora kwa flow
sawa nitakujia.sawa naona umebadilika...kujia kinywaji baridi December..
hao wote wakinigeria ulio wataja hamna kitu......hata show hawaziwezi huyo wizkid ndiyo kabisa ...yaan ni msanii bora wakuandaa ngoma kali studio ..ila ukimpa stage na mic.....hamna kitu[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]msanii chokoraa...nakubaliana nawe.
..afrika kama si wizkid ni Ice prince ama waafrika kusini na wa nigeria wengine...sio machokoraa wa Bongo...heri useme Ali Kiba lakini si huyu jamaa...![]()
kijana.....bora uendelee tu kuvizia free wi-fi hapo city garden park...na sigara mkonon ili ujifarijiKing Kiba forever...
Diamond=chokoraa...huwa anaimba upuuzi huyu jamaa..hana variety..style moja tu miaka nenda miaka rudi...![]()
atleast wizkid anaeza aka rap...na bado anaimba...hao wote wakinigeria ulio wataja hamna kitu......hata show hawaziwezi huyo wizkid ndiyo kabisa ...yaan ni msanii bora wakuandaa ngoma kali studio ..ila ukimpa stage na mic.....hamna kitu[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
bora kaka yako juakali
Hahahaha, Juakali, yule yamaa hata kwa mbali unagundua kuwa ni Mkora, ila kina ile sheng alikuwa anaimba ilikuwa inanibamba... What happened to Kenyan Music aisee..hao wote wakinigeria ulio wataja hamna kitu......hata show hawaziwezi huyo wizkid ndiyo kabisa ...yaan ni msanii bora wakuandaa ngoma kali studio ..ila ukimpa stage na mic.....hamna kitu[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
bora kaka yako juakali
sawa navizia wifi CBd.haya jiburudishe sasa..kijana.....bora uendelee tu kuvizia free wi-fi hapo city garden park...na sigara mkonon ili ujifariji
na bado kule juu soon tunamshusha wizkid kwani uzuri wa wasanii wakinigeria ni upepo wanapitaga tu.....Diamond trying to fit in on Rick Ross' level...![]()
![]()
![]()
shida huyo jamaa wenu haezi kiingereza...ndio maana anasikika tu hapa EA...wale kina wizkid wapo level ingine bana...si level ya machokoraa toka Tandalena bado kule juu soon tunamshusha wizkid kwani uzuri wa wasanii wakinigeria ni upepo wanapitaga tu.....
ndiyo maana hao wote hawatodumu.....niwakusample sana...hawapo Original ...mmeshinda akina AKA na Casspr Nyovest??![]()
![]()
![]()
It's allover twitter and you can google if you wanna.Please bring me any different source (without .co.ke) sources with .ke doesn't make any sense and they are untrustworthy (u know it nah?)
Diamond ndio original? we ndugu wacha jokes...if not for Nigeria music, SA music is on top..TZ music is on top in Video quality but not in content...ndiyo maana hao wote hawatodumu.....niwakusample sana...hawapo Original ...
type ya hao wasanii wamezagaa kibao huku bongo na huwa hatuwapi nafasi kwani watakuwa hawana uwakilishi original.....
hata mimi ukinisimamisha na hao ndugu nawapiga knockout tena vibaya sana siku hizi watu wanataka ubunifu wenye uwezo ukiimba ama kurap kama wamarekani hautoboi milele utapotelea hapa hapa africa naumaskini
kama kingereza kina play part kubwa katika talanta ya mtu,mbona wanamuziki wa kenya wanaojua kingereza hawajafika level ya juu aliyofika diamond na ally kiba(wasio jua kingereza).shida huyo jamaa wenu haezi kiingereza...ndio maana anasikika tu hapa EA...wale kina wizkid wapo level ingine bana...si level ya machokoraa toka Tandale.
mbona rick ross yupo soft sana wewe.......hana ugumu wababe tunaowapa respect nakuwaogopa tena wapo original ni hawahaya mnaweza rap haswa kama Rick Ross??![]()
![]()
![]()