Jay456watt
JF-Expert Member
- Aug 23, 2016
- 10,356
- 7,994
respect my friend...hao ndio ma rapper kamili...sasa tuwe marafiki sasa....nimekuheshimumbona rick ross yupo soft sana wewe.......hana ugumu wababe tunaowapa respect nakuwaogopa tena wapo original ni hawa
EMINEM SLIM SHADY
DR.DRE
PUSHA T
JAY Z
KENDRICK LAMAR
AKIM
LUPE FIASCO
NAS ESCOBA
KANYE WEST
nakuna raia wengine wanavuma kule kule ila ni balaaa kidogo nimewasahau ila waliobaki wote ni manyang'au tu hawana vitisho ni wakawaida sana