Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Tatizo Sheria nyingi serikali zilikuwa wamezikalia kimya na watu wakajenga utaratibu kwamba hazipo Sasa wanazitekeleza inakuja nongwa..

Watu hawafahamu kwamba hata fundi ujenzi hatakiwi kufanya kazi yeyote ya ufundi bila kuwa certified na relevant authority na awe na leseni ya kazi,tin namba na awe analipia ada kama registered engineers wanavyofanya..

Siku serikali ikija ku effect hii Sheria utasikia makelele.
nani kakwambia haipo zile lodges mbugani zinazoleta over $2 bln kama revenue ya utalii hukusanyaje kodi?
 
Tanga
image_downloader_1673711054008.jpg
image_downloader_1673711071760.jpg
image_downloader_1673711102696.jpg
 
Ujenzi wa SGR umeshafika mwanza, Kigoma na mpakani mwa majirani zetu kijana yenu bado iko porini.
SGR ya Kenya ishaunganisha miji mwili ya umuhimu na mikubwa Kenya (Nairobi na Mombasa) equivalent ya Dar na Mwanza na inatumiwa kila siku, na SGR ya danganyika je? ni kila siku kuambiwa ooh mwakani ooh mwakani 🤣 🤣 🤣 🤣
 
nani kakwambia haipo zile lodges mbugani zinazoleta over $2 bln kama revenue ya utalii hukusanyaje kodi?
Waambie hao wanaoshangaa sio Mimi? Huko Geita wafanyabiashara wa lodges wamepinga hiyo na kama mlikiwa mna charge mbuganj Kwa nini kwingine hamkucharge ila mnaanza Sasa hivi?
 
Hizi picha za Sumbawanga huwa nazipenda sn, zinapendeza machoni, maeneo mengi ya Tz ukitoa Dar yamejengeka kimpangilio sn, Dar tunafeli wapi sijui aisee. Ni kweli hatuna slums in Dar lkn ujenzi wa holela unakera sn na bado unaendelea na mamlaka zimekaa kimya.View attachment 2481088View attachment 2481090
Viongozi wa serikali za mtaa sijui vijiji wasiruhusiwe kuuza viwanja kwenye maeneo yao. Mauzo yakafanyike kwenye ofisi za Aridhi na maafisa mipango miji ndio wawe wanatoa vibali vya Mauzo ya maeneo.

Baada ya Hao wataalamu kupima na kuruhusu ndio watoe Kubali au ruksa ya eneo kuuzwa baada ya kupimwa then ndio hao Watu wa serikali za mitaa waendelee kuchukua hiyo percent yao.

Wamekasimiwa jukumu kubwa sana na nzito. Anaepanga mipango miji mwingine.. Anaefanya Mauzo mwingine.. Hakuna harmonization wala coordination hapo.. Unplanned settlement hazitapungua Kwa utaratibu huo.
 
Viongozi wa serikali za mtaa sijui vijiji wasiruhusiwe kuuza viwanja kwenye maeneo yao. Mauzo yakafanyike kwenye ofisi za Aridhi na maafisa mipango miji ndio wawe wanatoa vibali vya Mauzo ya maeneo.

Baada ya Hao wataalamu kupima na kuruhusu ndio watoe Kubali au ruksa ya eneo kuuzwa baada ya kupimwa then ndio hao Watu wa serikali za mitaa waendelee kuchukua hiyo percent yao.

Wamekasimiwa jukumu kubwa sana na nzito. Anaepanga mipango miji mwingine.. Anaefanya Mauzo mwingine.. Hakuna harmonization wala coordination hapo.. Unplanned settlement hazitapungua Kwa utaratibu huo.
Mgombea atakayeongelea ujenzi holela 2025 ndio atakayechukua kura yangu hata kama sijajipanga kupiga kura ila nitampigia. Dar watu wanajitahidi kujenga nyumba za kisasa nzuri lkn maeneo mengi hawafuati mpangilio, maeneo bado ni mengi lkn yanavamiwa watu wanakatiana viwanja kiholela, inanikera sana hili suala.
 
Mgombea atakayeongelea ujenzi holela 2025 ndio atakayechukua kura yangu hata kama sijajipanga kupiga kura ila nitampigia. Dar watu wanajitahidi kujenga nyumba za kisasa nzuri lkn maeneo mengi hawafuati mpangilio, maeneo bado ni mengi lkn yanavamiwa watu wanakatiana viwanja kiholela, inanikera sana hili suala.
Ilo sio suala la Raisi, Wizara ya ujenzi na makazi ndio wanatakiwa waache kufanya kazi kimazoea,Mji unajengwa hadi umejaa sijui ivyo vibali wanavitoaje, lazima wacontrol maendeleo,Mbona apo Dodoma imewezekana?
 
SGR ya Kenya ishaunganisha miji mwili ya umuhimu na mikubwa Kenya (Nairobi na Mombasa) equivalent ya Dar na Mwanza na inatumiwa kila siku, na SGR ya danganyika je? ni kila siku kuambiwa ooh mwakani ooh mwakani [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]
Tuliza mzuka usipanic kijana.
 
Ilo sio suala la Raisi, Wizara ya ujenzi na makazi ndio wanatakiwa waache kufanya kazi kimazoea,Mji unajengwa hadi umejaa sijui ivyo vibali wanavitoaje, lazima wacontrol maendeleo,Mbona apo Dodoma imewezekana?
Serikali inatakiwa kutoa msukumo wa Kisiasa so bila utashi wa Kisiasa hakuna mpango Mji wowote
 
Ilo sio suala la Raisi, Wizara ya ujenzi na makazi ndio wanatakiwa waache kufanya kazi kimazoea,Mji unajengwa hadi umejaa sijui ivyo vibali wanavitoaje, lazima wacontrol maendeleo,Mbona apo Dodoma imewezekana?
Dodoma kulikuwa na CDA, Hao walijitahidi sana kuzuia ujenzi holela na kuuziana viwanja kienyeji.

CDA ndio TBA Kwa Sasa sijui huko Dom!?
 
Dodoma kulikuwa na CDA, Hao walijitahidi sana kuzuia ujenzi holela na kuuziana viwanja kienyeji.

CDA ndio TBA Kwa Sasa sijui huko Dom!?
kimbelembele cha mwendazake akaivunja CDA!


 
kimbelembele cha mwendazake akaivunja CDA!



Sitetei chochote, lkn uendelezaji wa jiji/halmashaur Tanzania nzima popote pale ipo chini ya Baraza la Halmashauri au Jiji.. hio CDA ilikuwa just a duplication ya City/Munucipal Council, then why should them have both?
 
Sitetei chochote, lkn uendelezaji wa jiji/halmashaur Tanzania nzima popote pale ipo chini ya Baraza la Halmashauri au Jiji.. hio CDA ilikuwa just a duplication ya City/Munucipal Council
uendelezaji wa makao makuu ya nchi unahitaji wataalam wabobezi na si hizi halmashauri zetu! Hamna capital cities duniani zilizoanzishwa kwa kuhama bila ya chombo cha planning hata Quatar juzi walikuwa na chombo kilicho-plan na kutekeleza ujenzi wa viwanja, miundombinu na kusimamia World cup! Refer Abuja, Dubai pia!
 
uendelezaji wa makao makuu unahitaji wataalam na si hizi halmashauri zetu! hamna capital cities duniani zilizoanzishwa kwa kuhama bila ya chombo cha planning hata Quatar juzi walikuwa na chombo kilicho-plan na kutekeleza ujenzi wa viwanja, miundombinu na kusimamia World cup!
Then put those specialists or kikosi kazi inside the city council
 
Then put those specialists or kikosi kazi inside the city council
watu wa mwendazake hawa hapa! Viwanja ambavyo vinaweza kupewa strategic investors wa mahoteli 5 star, malls e.tc. wameuza kinyemela! Kiufupi JPM alikosa exposure!


Sasa hivi ikulu na mji wa kiserikali upo km 20 toka ofisi ya Waziri Mkuu, Bunge na Mahakama kuu!
 
Back
Top Bottom