Pia mimi sioni haja ya hii battle kwa ushahidi mwafaka wa hizi picha..,Kwa ushahidi wa hzi picha mm sioni haja ya hii battle sijui hata tunashindana na kitu gani hapa 🤣🤣🤣🤣🤣🤣 na aliweka hzi picha baadae alijuta akajua kasinzia na fegi kachoma kibanda
View attachment 2479303View attachment 2479304View attachment 2479305
Sasa umekasirika au 🤣🤣🤣🤣🤣 mbona umekua muoga sana siku hziPia mimi sioni haja ya hii battle kwa ushahidi mwafaka wa hizi picha..,
View attachment 2479318
View attachment 2479319
View attachment 2479321
View attachment 2479322
Iyo train yenyewe sasa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]RIP primary teacher
Ndio maana nikatanguliza RIP hayo ndio maisha ya mkenyaIyo train yenyewe sasa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Na pia ukiangalia utaona hawajahesabu watanzania wa uswazi, yaani mbali na uswazi 41% wako ndani ya slums!! so tukijumuisha hawa👇👇👇 wa uswazi nyote ni makapuku tupu pale Dar 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂Na ukiangalia kwa umakini tanzania ndio inaongoza kwa urban populations sasa waambie wapige hesabu zao kwa umakini 😆😆😆😆😆😆😆 na hapo pia utapata real population below poverty line
Exactly am enjoying, kumbe u can read my mind! 😝 😂 😂 😂 😂 😂😆😆😆 enjoy
View attachment 2479323
Hizi ni slums kwa dunia ya leo.., yaani Dar is slum 90% na ndio ilivyo makazi mikoani ukatae ukubali, hii ni uchafu na picha ya ufukara, wacha kutetea upuzi tafuta suluhisho maana idadi inaongezeka kwa kasi!!.,
View attachment 2477401
View attachment 2477402
View attachment 2477397
View attachment 2477398
View attachment 2477399
Jibu umepata, siku hizi umeshindwa kabisaa, yaani tangu nikukamate hivi haunaga nguvu tena, umebakia mnyonge, unatapatapa sana 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂Sasa umekasirika au 🤣🤣🤣🤣🤣 mbona umekua muoga sana siku hzi
Jij gani halina bahari michosho. Nairobi hakuna hata sehemu waweza sema naenda Beach.Dar iko na nini? CBD moja tu na gorofa tatu.., zaidi ya hapo kuna nini?.., utacheza tu na angles na lipsticks kujiliwaza, nyambaff.., [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] .,
View attachment 2478938
View attachment 2478939
Tumia google earth 3D views, hauhitaji mambo mengi, simple as that, technology inayo kupeleka popote duniani.., kila kitu kimeanikwa wazi wazi, na pia inaumbua eti "expert opinions" uchwara..,Tatizo lako unaongea kwa hisia pekee bila uhalisia wa kitaalam. Ngoja nikuache uendelee kubakia mjinga hivyo hivyo.
Wewe lete orodha mpya ya slums kubwa duniani kwa ''tafsiri ya kisasa'' kama unavyodai, halafu nioneshe Tanzania.
Lishamba kweli, umeona Nairobi ni pwani ndio utaje beach? mandazi wewe😂😂😂😂😂😂😂😂Jij gani halina bahari michosho. Nairobi hakuna hata sehemu waweza sema naenda Beach.
Tumia google earth 3D views, hauhitaji mambo mengi, simple as that, technology inayo kupeleka popote duniani.., kila kitu kimeanikwa wazi wazi, na pia inaumbua eti "expert opinions" uchwara..,