This Trevor Noah lookalike kid trending globally, the replies are crazy 🤣
Embu nifafanulie hapohii ni SGR gani unayozungumzia wewe au SGR ya tumboni?
Hawa kwani magari wanabadili kwa muda gani
Sijui mkuu Ni Serikali inawaletea hasa Wakuu wa Mikoa ya Dom,Dar,Arusha na Mwanza.Hawa kwani magari wanabadili kwa muda gani
Matajiri wa karatasi wana mentality za hovyo sana.Nchi maskini inayofanya miradi ya gharama kuliko nchi zote maskini za EA combined, nchi maskini inayolisha nchi zote maskini za EA, think twice![]()
Huwa wakirudi kwao huenda kulalamika kwenye twitter.Mwaka wa tano huu mnasema mtatuma mtu aje aanike uchafu wa Dar lkn cha kushangaza huyo mtu akija Dar harudi uko kwenu na picha mnakosa![]()
Nadhani tunnel ingekuwa vizuri zaidi ianzie kule Barack Obama road.Hapa miaka ijayo patahitaji daraja la kufunga na kufungua ili BRT buses ziende ng'ambo kule.View attachment 2475988
Vipi kijana umeshakula?sgr ya magufala ya pesa za ndani![]()
Serikali magari hubadili kila baada ya 5 years.Hawa kwani magari wanabadili kwa muda gani
Apo sawaSerikali magari hubadili kila baada ya 5 years.
mkopo wa sgr sio kutembeza bakuli? wacha kua na selective amnesia🤣 🤣
Lile lilikwamishwa na makesi sijui kama investor ataliendeleshaWakenya suala lenu la Pinaccle Tower liliishaje?
Nmeona mkishoboka na cladding ya mzizima towers kwamba inaenda taratibu sana
We have never begged for food..maneno ya dp wetu usiwahi yachukulia seriousTaking loans is different from foods begging
Unaogopa nn sasa kuna mtu alikuzuia kufanya kazi hio kwanza nauli ya kuja tz na uka survive kwa siku moja unayo ww🤣🤣🤣Tuanze kuanikana ama?
Sio kubeg tu food mnakufa in millions by lack of itWe have never begged for food..maneno ya dp wetu usiwahi yachukulia serious
Kijana unaefanya kazi ikulu.. huo mchuzi ni mchuzi, supu, au maji? Kwann upige picha kwenye kiti, meza inashida gan? Afu hio sinia ndo sahani za ikulu?Karibu early lunch
View attachment 2476056