chongchung
JF-Expert Member
- Jun 23, 2013
- 14,316
- 45,125
Dodoma pekee inatosha kuipiga kunyaland yote on quality streets
Wakunya kwenye barabara kaeni mbali mno na Tanzania
Wakunya kwenye barabara kaeni mbali mno na Tanzania
Hili sinia tu linaelezea hali yako.Karibu early lunch
View attachment 2476056
So, tukuamini wewe na sio mtu aliye Ikulu.We have never begged for food..maneno ya dp wetu usiwahi yachukulia serious
Sinia limechoka kweli kweliKijana unaefanya kazi ikulu.. huo mchuzi ni mchuzi, supu, au maji? Kwann upige picha kwenye kiti, meza inashida gan? Afu hio sinia ndo sahani za ikulu?






Asante kwa render 🤣🤣🤣 ile light rail ya kutoka westland kwenda JKIA imefkia wapi??????
Asante kwa render.
Tunakufa in millions? Haya jibambeSio kubeg tu food mnakufa in millions by lack of it
Pedestrian path iko wapi?
Hivi nyie hamna standards? Sasa sinia bovu hivyo ni la kuleta chakula mezani kweli?Karibu early lunch
View attachment 2476056
Wewe ndio sikuchukulii serious.We have never begged for food..maneno ya dp wetu usiwahi yachukulia serious
Nilisoma nikacheka tu. In sober countries, people would be questioning if regional commissioners need these kind of vehicles. I blame it on poor education.🤣🤣Afrikans 😂😂😂😂😂
Watakuambia ni barabara ovyo Kisa haina markings na concrete drains🤣🤣
Our country, regions are big even our districts are also big you need a reliable car of such type to reach all places conveniently.Nilisoma nikacheka tu. In sober countries, people would be questioning if regional commissioners need these kind of vehicles. I blame it on poor education.![]()
Hakuna street lights na pedestrian paths hivyo ni vitu muhimu sana.Watakuambia ni barabara ovyo Kisa haina markings na concrete drains![]()
