Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Streets in regional economic capital

FjERZ7yX0AA1X7v.jpeg
FjDqfdmUoAA3bxC.jpeg
 
Wao ni worse, poverty mashinani and low life, this year nime relax, we already know everything about TZ so far, kwa sasa ni hekaya za abunuasi on display from southerners as they try to save face, yani kuanzia Mwanza to Arusha, Dodoma to Tanga etc.., makazi ni muonekano wa ufukara like over 80% of the areas or ushuzi as they call it.., Tanzania ina mwendo na haikombolewi karne hii ama in this generation and several coming.., ni muujiza utakomboa TZ.

Look at Dar vile inafanana, the commercial capital eti!!!
Huyu ichogal anadhani hatuna mapicha za tz
 
nyama ya mbuzi na groceries kidogo boiled bila mafuta na nyanya
Shida ni hilo sinia linaonekana kabisa lipo kilabuni kwa wanywa chang'aa, Wakenya tafadhali naomba msiwe mnapost maisha yenu halisi humu mnajichoresha sn, mwishowe tutaacha battle na nyie maana inaonekana kabisa tuna battle na machokoraa humu.
 
Wakenya suala lenu la Pinaccle Tower liliishaje?
Nmeona mkishoboka na cladding ya mzizima towers kwamba inaenda taratibu sana
Pinnacle Towers has a court case ndio maana ujenzi ilikwama. Mzizima towers imekuwa na kesi gani ndio ujenzi uende mwendo wa Kobe? Mwaka wa tano leo Kama sijakosea! Hata 88Nairobi ujenzi ilianza just the other day and it's almost coming to an end wakati Mzizima towers wanaweka glasi moja kwa wiki and call it cladding!
 
Pinnacle Towers has a court case ndio maana ujenzi ilikwama. Mzizima towers imekuwa na kesi gani ndio ujenzi uende mwendo wa Kobe? Meal wa tank leo Kama sijakosea! Hata 88Nairobi ujenzi ilianza just the other day and it's almost coming to an end wakati Mzizima towers wanaweka glasi moja kwa wiki and call it cladding!
Tuvumilie hadi wamalize,kweli linaenda taratibu sana
 
Back
Top Bottom