game over
JF-Expert Member
- Jan 1, 2016
- 11,056
- 26,332
Wanasema magari zetu za zamani, ndio hizi zao mpya. 2022 model![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Sasa boss hiyo picha yenyewe ni ya around 2000,
Unataka kuwe na magari ya 2015 ?
Wanasema magari zetu za zamani, ndio hizi zao mpya. 2022 model![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Sheria zetu zimewekwa kuwezesha wananchi kutuliki ardhi na kupewa hati miliki. Nyinyi sheria zenu zimewekwa kuwezesha wananchi kulease ardhi kwa kipindi cha muda fulani. Hapo ndio hub tofauti kati yetu nanyi. Sasa msisemange kwamba wakenya hawamiliki ardhi coz it's not true.
Hayo mambo mengine yote umeguzia (fidia nk) ziko sawa tu na huku kwetu pia
Masinde Muliro University of Science and TechnologyView attachment 2471273

Mt.kilimanjaro as seen from Nairobi Southern Bypass. Wabongolalas kwani bado hamjabuy curtains za kuficha mlima.![]()
![]()
![]()
![]()
Ulidhani nmediss?sema nimeandika kisw cha kihuni sana sio rahisi kuelewa,niliamanisha zimependezesha sana hilo eneoIlifaa zipinde ama?
technology ya kuangusha majengo!Mosi that’s not Kundustan, umeiba picha,
Pili, Eti technology hahaha, technology? in Kundustan? which technology?
or you mean AYO Technology song by Justin Timberlake na 50 cent ?![]()
Majengo ya Chuo yamesongamana Kama hospitali?Masinde Muliro University of Science and TechnologyView attachment 2471273
Wameanzisha na Utalii wa michezo hasa golf wanajenga Serengeti.Tourism 2.4 Bil usd Ili kufika Target ya 5bn usd 2025 .
Trend imerudi kuwa Nzuri but still tunalala kwenye Southern Circuit .
What is done currently
1.Najua Iringa Airport inafanyiwa marekebisho but we need to advertise the southern and western circuits more.
2. Nimeona wanasema Royal Tour Part 2 itakuja na itabase kwenye Southern Circuit tourist sites . Ruaha, Katavi, Kitulo natiaonal parks , Kalambo water falls . This is good from Madam President itafungua zaidi huku
3. Kujengwa kwa Arena anazozungumzia kukifanyika vizuri ni kitu kizuri sana kwa tourism .Event kama Awards , Africa Shows Zitakuwa hosted Zaidi Tz kama tuna venue nzuri
My suggestion to GOT
1.Mafia Island Has a lot of potential to bring even 100k tourist a year .Build a bigger airport and Atttact more investors
2.Pemba Island is still underperforming , tho nimeona wanaaza kujenga International Airport soon
3.Dar es Salaam na Zanzibar zinahitaji Cruise terminal na Water front projects ,
Hasa Dar ambayo iko business based bado , Kigamboni, and some small island can still perform well
4.Medical tourism trend is good we should build more Big Hospitals and train more we should really take this serious .But the efforts are good
5.New Confernece Centre In Arusha , revive the Mount Kilmanajro Conference centre Project. It will rival Kigali Conference centre
Watu wa huko wachangamke pia kama wakina Mwamposa wajenge lodges serikali tayari inawawekea miundombinu!Wameanzisha na Utalii wa michezo hasa golf wanajenga Serengeti.
Utalii wa Kusini , Barabara ya kwenda hifadhi ya Ruaha tenda imetangazwa,
Barabara ya kwenda hifadhi ya Kitulo ujenzi Umeanza.
First of all, Dar is a coastal city with the CBD on the ocean. Thus it only stretches half the directions Nairobi stretches. One side is just a body of water.Ubungo,
Some 10kms away from CBD
In some small towns like Nairobi there is no 10km from cbd.
View attachment 2471635
View attachment 2471636
View attachment 2471637
Kama 200kmHow far is that distance from Kili?
Picha ya kibabe hii naona BRT phase 4 ikipita hapoUbungo,
Some 10kms away from CBD
In some small towns like Nairobi there is no 10km from cbd.
View attachment 2471635
View attachment 2471636
View attachment 2471637