kama wananchi hawamiliki ardhi, serikali ilipowafidia watu wakati wanatayarisha sehemu ya kujenga reli ya SGR walikuwa wajinga?Land rates applies hata huku kwetu. Tofauti ni kwamba sisi tunamiliki ardhi na tunapewa tittle deeds na wizara ya ardhi. Nyinyi, on the other hand, mnalease ardhi kutoka kwa serikali. When you lease something, you can't claim it's yours. Haya ni mambo mawili tofauti kabisa. Cha ajabu ni kwamba kila siku hapa mnasema wakenya hawamiliki ardhi while in real sense ni nyinyi ndio hammiliki ardhi
Tunazo hatimiliki za ardhi. Hawa madalali wanao uza viwanja kila siku unafikiri wanafanya ukora?Sheria zetu zimewekwa kuwezesha wananchi kutuliki ardhi na kupewa hati miliki. Nyinyi sheria zenu zimewekwa kuwezesha wananchi kulease ardhi kwa kipindi cha muda fulani. Hapo ndio hub tofauti kati yetu nanyi. Sasa msisemange kwamba wakenya hawamiliki ardhi coz it's not true.
Hayo mambo mengine yote umeguzia (fidia nk) ziko sawa tu na huku kwetu pia
Congo teyari Tanroads wanawajengea barabara kule Karemi. Tanroads wangechangamka wangeweza kuwa na kampuni kama ile ya ujenzi ya serikali ya China.
Unajua kuna wale wasee wakiona chupi ya mwanamke wanafurahii mpaka wanacum, kumbe na humu wamo?😂😂Here is a good camera shot of Kilimanjaro with Kitengela town on the foreground.
![]()
Kwahiyo ukiichafua picha ili ionekane mbaya ndiyo kwako unafurahi au sio? Haya zoom unioneshe slum hapo ikiwa mpk bati naona nyumba nyingi hapo zina bati za kisasaHata hii mliwailhisema ni ya 90s. Unafikiri tunasahau?View attachment 2471239











Ni kawaida yenu kuongopa.Ngoa kabla waifanye wimbo. University of Ghana hiyo.
Where is KDFGeneral Jeff Nyaga mwenyewe, wabongo wananyongwa na wivu ju walifail in DRC.![]()
![]()
![]()
![]()
Bongolalas I hope munaona huyo mkubwa wa jeshi yenu anafwatilia commands kutoka kwa nani.
![]()
![]()
Bongolalas najua wamesave hii kama wallpaperIzo nyumba zimesimama wima sio poa
Tag Geza Ulole dude never believes hii storyMt.kilimanjaro as seen from Nairobi Southern Bypass. Wabongolalas kwani bado hamjabuy curtains za kuficha mlima.![]()
![]()
![]()
![]()
How far is that distance from Kili?Tag Geza Ulole dude never believes hii story
Correction: hii sio park. Ni golf course.Wana kale kamsemo kua dar hakuna miti na parks 🤣🤣🤣🤣
View attachment 2470963
Hahahahaaaa daa .... so this college is in kenya????Masinde Muliro University of Science and TechnologyView attachment 2471273
About 210kmHow far is that distance from Kili?
Tatizo upigaji tuu... China zile ni kampuni za Serikali ila zinajiendesha kama private zikiwa nje ya Nchi Yao.Congo teyari Tanroad wanawajengea barabara kule Karemi. Tanroad wangechangamka wangeweza kuwa na kampuni kama ile ya ujenzi ya serikali ya China.
Unajua kuna wale wasee wakiona chupi ya mwanamke wanafurahii mpaka wanacum, kumbe na humu wamo?![]()






MfanoTatizo upigaji tuu... China zile ni kampuni za Serikali ila zinajiendesha kama private zikiwa nje ya Nchi Yao.
Zikipata dili kubwa serikali Yao ndio inawakingia kifua Kwa funds, lobbying etc.. Wanasaidia ku export nguvu kazi nje ya Nchi.. Serikali inakuwa inajitengenezea ajira huko maana ndani kumejaa.
Hapa pia wangefanya hivyo, Kuna tactical advantages kubwa sana.. Upande wa marine, telecommunications and transport industry.. Tungeweza ku dominate ukanda huu vizuri sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kabisa mkuu.Mfano
1.Songoro Marine wamaweza kuwa supported zaidi
2.Kwa za serikali Stamico , Tanroads , TBA, Hii inasaidia kuongezeka kwa Export of services nje ya nchi na kuleta flow ya Dollar ndani