Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Alaf kumechakaa kweli kweli utasema pamepigwa bom


Hapa chini kuna very new car with 5 years old only , in Mkundustans Voice
afdb4c75-fc7e-463a-82fb-b517a3534689.jpg
 
Anakuja mwehu fulani wa huko kundustan anafananisha Zanzibar, ile paradise ya Africa nzima na Mji mchafu na wa hovyo kama mombasa,
Zanzibar is viewed by the world as one of the World’s best travel destinations,
View attachment 2471815
View attachment 2471816
View attachment 2471817
View attachment 2471818
View attachment 2471819
Ka Nairobi kenyewe hakaingii kwa Zanzibar, ukitoa vi flyover juakali na vi estate vya mchongo vyenye bati nyekundu juu ka Nairobi hakaiwezi Zanzibar amini kwamba.
 
Naomba niandike kwa herufi kubwa,

KATIKA VITU AMBAVYO VINANIKERA SANA SANA NI UJENZI HOLELA, AISEE HII KITU INANIUDHI MNO, ALAFU BADO HUU UJENZI HOLELA UNAENDELEA MPAKA SASA TUNAVYOONGEA NA SERIKALI IMEKAA KIMYA KAMA HAKUNA KINACHOENDELEA. DAR MAENEO MENGI BADO HAYAJAJENGWA LAKINI YAMEVAMIWA NA YANAJENGWA HOVYO HOVYO NA HAKUNA HATUA ZOZOTE ZINAZOCHUKULIWA, WATU WANAKATIANA VIWANJA LAKINI WANAACHWA TU, UNAKUTA NYUMBA ZIMEJENGWA NZURI LAKINI HAZINA MPANGILIO INAONEKANA NI UCHAFU TU.

NAJUA HILI NI TATIZO LA AFRICA NZIMA LAKINI SISI TUSIACHE LIENDELEE KISA NI TATIZO LA AFRICA NZIMA NI UJINGA.

Yaani kuna ka mentality ka kila mtu Tanzania, yaani kila mtu anaamini lazima ajenge, mtu anajenga hata nyumba ya Mil 7, alafu ndio anaona amemaliza maisha.

Mimi nishaga sema nyumba yangu itaisha miaka 5. Nisijenge ovyo ovyo
 
Zanzibar ni yakufananishwa na miji mizuri kama Venice au Hannover au Basel ,
Sio takataka kama mombasa,
Watu wanadhani kupaka rangi za bluu kwenye majengo kuukuu na kujenga vijengo viwili vitatu vya ghorofa 10 mombasa basi tayari utalingana na mji wenye hadhi na heshima duniani kama Stone Town ?
View attachment 2471830
View attachment 2471831
View attachment 2471832
View attachment 2471833
View attachment 2471834
View attachment 2471835
View attachment 2471836
View attachment 2471837
View attachment 2471838
Hakuna mji unaokaribia Zanzibar huko kundustan republic.
 
Naona munaendelea kumpa zwazwa dawa zake ili apone 😆😆😆😆 anatuonesha mapori na barabara 15km and 20km away from cbm
Jamaa fala sana hawa, ukiwaambia Dar ni kubwa mara 4 ya Nairobi wanakuambia hata newyork ni ndogo kwa Dar, ukiwaaonesha development ya 30km away from CBD wanaenda kukuletea County ya murang'a eti nayo ni Nairobi 😂😂😂
 
Back
Top Bottom