The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,480
- 98,527
Gari nyingi barabarani kwa ss ni number E, D na kdg C.Wanasema magari zetu za zamani, ndio hizi zao mpya. 2022 model![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Gari nyingi barabarani kwa ss ni number E, D na kdg C.Wanasema magari zetu za zamani, ndio hizi zao mpya. 2022 model![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Wanajua sn sema wanajifariji, kwenye issue ya magari wakundustan watulie tu, tuko juu yao.Picha za zamani sana hiz...
Kuna hadi daladala za mbezi kivukoni...hii itakuwa 2010...
Hii seheme ina Mwendokasi sasa kwenda mbezi
Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Kwani uongo, we kwani hujui hapo kuna mwendo kasi au tukuleteeWatakumbia no picha za 90s![]()





Tatizo hawapendi kuona tupo juu yao, wapambane na reality sio sisi. Mwengine atakuletea picha ya tazara ya mkapa lkn hii ataiona alafu anairukaNa hiyo picha ya kwanza ni pale Uhuru round about ishavunjwa miaka mingi na BRT lanes za awamu ya kwanza zinatumika na awamu ya tatu zinakztisja soon hapo.
Msimbazi street by indaressalaam, 於 Flickr
Msimbazi/Uhuru street by indaressalaam, 於 Flickr








Hizi picha wakiziona huwa wanaziruka cz wanaumia kwao hakuna mambo kama hayaBefore ( Vipanya) namba A
View attachment 2471154
After ( BRT Buses) namba D
View attachment 2471157
Jioneee Tofauti.








Nani sasa hapewi hati miliki?Sheria zetu zimewekwa kuwezesha wananchi kutuliki ardhi na kupewa hati miliki. Nyinyi sheria zenu zimewekwa kuwezesha wananchi kulease ardhi kwa kipindi cha muda fulani. Hapo ndio hub tofauti kati yetu nanyi. Sasa msisemange kwamba wakenya hawamiliki ardhi coz it's not true.
Hayo mambo mengine yote umeguzia (fidia nk) ziko sawa tu na huku kwetu pia
Mngeanza na kutarmac hizo barabara zenu mbovu. Missplaced priorities.Usichojua wewe ni kuwa Dar City ina implementation underground electric systems mwaka wa 7 huu hivyo nguzo zinazidi kupungua siku hadi siku.

























Hata hii mliwailhisema ni ya 90s. Unafikiri tunasahau?Kwani uongo, we kwani hujui hapo kuna mwendo kasi au tukuletee
Tz imewaacha kwa ss pambaneni aisee mfike tulipo.
Utapewaje hatimiliki ya ardhi ya mtu? Hebu tuonyeshe tittle deed ya ardhi uliyokodishiwa na sisiemu tuoneNani sasa hapewi hati miliki?
Picha za zamani sana hiz...
Kuna hadi daladala za mbezi kivukoni...hii itakuwa 2010...
Hii seheme ina Mwendokasi sasa kwenda mbezi
Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Wakipigwa bao wanasema ni picha za kitambo yet huyo huyo mpuzi hushinda akirudia picha za Kibera na Mathare za 90s humu hadi anaongeza za Nigeria na India anasema ni Nairobi. 🤣 🤣Hata hii mliwailhisema ni ya 90s. Unafikiri tunasahau?View attachment 2471239
Na hiyo picha ya kwanza ni pale Uhuru round about ishavunjwa miaka mingi na BRT lanes za awamu ya kwanza zinatumika na awamu ya tatu zinakztisja soon hapo.
Msimbazi street by indaressalaam, 於 Flickr
Msimbazi/Uhuru street by indaressalaam, 於 Flickr
Nani sasa hapewi hati miliki?
Yes in your dreamsGolf course ya Lugalo unaijua wewe au unawashwa tuu. The best golf course in EA.

Mzee wa IDs nyingi upo poa?Mngeanza na kutarmac hizo barabara zenu mbovu. Missplaced priorities.