Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Wanasema magari zetu za zamani, ndio hizi zao mpya. 2022 model

Foleni-Dar.jpg
foleni-dar.jpg
the-dala-dala-a-minibus-is-the-primary-mode-of-public-transportation-C4334J.jpg
Gari nyingi barabarani kwa ss ni number E, D na kdg C.
image_downloader_1673021595228.jpg
image_downloader_1673021459707.jpg
image_downloader_1673021401780.jpg
image_downloader_1673021313883.jpg
 
Sheria zetu zimewekwa kuwezesha wananchi kutuliki ardhi na kupewa hati miliki. Nyinyi sheria zenu zimewekwa kuwezesha wananchi kulease ardhi kwa kipindi cha muda fulani. Hapo ndio hub tofauti kati yetu nanyi. Sasa msisemange kwamba wakenya hawamiliki ardhi coz it's not true.

Hayo mambo mengine yote umeguzia (fidia nk) ziko sawa tu na huku kwetu pia
Nani sasa hapewi hati miliki?
 
Usichojua wewe ni kuwa Dar City ina implementation underground electric systems mwaka wa 7 huu hivyo nguzo zinazidi kupungua siku hadi siku.
Mngeanza na kutarmac hizo barabara zenu mbovu. Missplaced priorities.
 
Wakundustan zamani walikuwa wanajifanya eti wanàshangaa Tz kuwa na infrastructure za kisasa nafikiri siku hizi sisi ndiyo huwa tunashangaa tukiona Wakenya nao wanataka kujenga infrastructures za kisasa kama sisi
 
Wakundustan nakupeni miezi sita kutoka sasa yani hii battle mtaikimbia mtake msitake mana yajayo yanafurahisha
 
Back
Top Bottom