Narudia tena, ushamba mzigo jombaOnesha yenu kwenye public hospital usilete ngebe
Land rates applies hata huku kwetu. Tofauti ni kwamba sisi tunamiliki ardhi na tunapewa tittle deeds na wizara ya ardhi. Nyinyi, on the other hand, mnalease ardhi kutoka kwa serikali. When you lease something, you can't claim it's yours. Haya ni mambo mawili tofauti kabisa. Cha ajabu ni kwamba kila siku hapa mnasema wakenya hawamiliki ardhi while in real sense ni nyinyi ndio hammiliki ardhiNchi nyingi tuu duniani mtu hamiliki ardhi bila masharti. Serikali nyingi zinauwezo wakukunyang'a ardhi muda wowote, usipokamilisha matakwa fuani. Mfano usipolipa kodi ya ardhi, mali inapigwa mnada.
Ushamba unakuja pale we unacho alafu kwa muda mrefu zen unaweza kumuona mtu mshamba, mfano mwenzio let say kapanda ndege kapiga picha yuko angani kama wewe umepanda sn ndege unaweza kumuona mshamba, lkn co umuone mwenzio mshamba kwa kupiga picha akiwa angani wkt ww hujawahi na unatamani siku moja itokee, hapo sio ushamba bali ni wivu unakusumbua.Narudia tena, ushamba mzigo jomba







Mara nyingi huwa wanaanzia Tz wanaacha pesa ya maana zen wanakuja kushangaa Kibera, hakuna cha kufanya mana vivutio hamnaTuchel and Madonna currently in KenyaView attachment 2470728View attachment 2470729











Huyo ametoka Sumbawanga kaingia Dar anashangaa kuona vitu kama hizoMshamba kaingia mjini.🤣
Ukiizoom vizuri unakutana na number E 😂😂1995🤣🤣🤣🤣
Acha nikunyamazie coz umetumia nguvu nyingi sana kutetea ushamba. Hizo mashini zimejaa kwenye banking halls zetu nashangaa huko kwenu ni big deal sanaUshamba unakuja pale we unacho alafu kwa muda mrefu zen unaweza kumuona mtu mshamba, mfano mwenzio let say kapanda ndege kapiga picha yuko angani kama wewe umepanda sn ndege unaweza kumuona mshamba, lkn co umuone mwenzio mshamba kwa kupiga picha akiwa angani wkt ww hujawahi na unatamani siku moja itokee, hapo sio ushamba bali ni wivu unakusumbua.
Again, onesha kama hyo kwa public hospitals au hata private kunako shit hole country ya kundustan kama hakuna piga kimya au kalilie kwa choo![]()
Hii ni Dodoma wala hata sio DarHuyo ametoka Sumbawanga kaingia Dar anashangaa kuona vitu kama hizo
Where I call it home.. Nzasi 🔥🔥🔥
Land rates applies hata huku kwetu. Tofauti ni kwamba sisi tunamiliki ardhi na tunapewa tittle deeds na wizara ya ardhi. Nyinyi, on the other hand, mnalease ardhi kutoka kwa serikali. When you lease something, you can't claim it's yours. Haya ni mambo mawili tofauti kabisa. Cha ajabu ni kwamba kila siku hapa mnasema wakenya hawamiliki ardhi while in real sense ni nyinyi ndio hammiliki ardhi
Mombasa haiiwezi Zanzibar hata kwa dawa, kitu pekee Mombasa inawezana na zenji ni bandari pekee mengine ni dhambi hata kulinganisha.
Na kwa siku zinavyozidi kusonga ZnZ inaweza top miji mingi sana kwenye sector ya real estate hapa EA ..Mombasa haiiwezi Zanzibar hata kwa dawa, kitu pekee Mombasa inawezana na zenji ni bandari pekee mengine ni dhambi hata kulinganisha.