Mortgages ni mambo ya kizungu? Mikopo Kwa ajili ya malipo ya nyumba sio mambo ya kizungu. Sema kuwa ni formal zaidi ya njia tulizozizoea nchini. Na ni nzuri. Kama huwezi kulipa gharama yote ya nyumba out of pocket, mikopo Ndio option yako pekee. Pia kuna situations nyingi tu ambazo mtu analazimika kulipia nyumba kutumia mortgages Hata kama hela yote ya kulipia nyumba anayo. Kwa mfano, mtu anaweza kuwa na expenses nyingine kubwa kama kulipa Ada za watoto shule ama chuo.
Kuweka Sheria sio tatizo. Issue ni kuhakikisha sheria zinafuatwa na kila mtu. Unadhani serikali inaweza ku-afford kusimamia kila mtu anayejenga nyumba? Ni rahisi zaidi kama majority ya nyumba zikijengwa na housing developers Maana wana-submit proposals za nyumba wanazotaka kujenga kisha serikali za miji ndio zina-approve au kukataa. Otherwise Hii proposition yako si viable.