The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,480
- 98,527
Wanafosi tufanane, nchi lao wameliharibu now wanafosi kufanana na nchi za watu wenye akili



























Bongolala, mwenzako alisema hawezi ishi yale maeneo ya Dar that I posted in videos na kukiri kwamba ni slums. Usijifanye mwerevu wa kutwist manenoYeye ndiyo hawezi kuishi, tuusan au mm pia hatuwezi kuishi unapoishi wewe kwn uongo? Naomba unioneshe mazingira kama haya au nyumba za bati chafu kama hizi sehemu yoyote ile hapa Tz sio tu DarView attachment 2469972View attachment 2469973View attachment 2469974View attachment 2469975View attachment 2469977View attachment 2469978




The way lease ya Tanzania ilivyo ni kama unamiliki ardhi whether 33 years or 99 years is as good as you own it but kisheria wewe sio mmiliki bali ni lessee. The owner of the land ni government and the government reserves the right to alter matumizi ya hiyo ardhi na kuichukua toka kwako kwa fair compensation at market price.Na si kila siku hapa tunaambiwa watanzania wanamiliki ardhi, eti kwamba you don't lease from the government? Iweje tena leo maneno yamebadilika?
Si Kawaida yenu picha zote mbaya huwa ni za 90s!Picha za enzi za Mkapa
No plastic bags in Dar as we speak, alafu kwann unaweka picha za mawinguni? Weka picha za chini kama hiviView attachment 2469981View attachment 2469982View attachment 2469983
Hakuna mazingira haya kwa ss hapa Dar, kwanza plastic bags zilishapigwa marufuku mwaka wa nane huu thus y wakundustan wenzako wakija Dar wanashangaa jinsi mji ulivyo msafi, narudia tena hakuna mazingira kama haya Dar kwa sasaSi Kawaida yenu picha zote mbaya huwa ni za 90s!











Unapopost za Kenya za enzi zile akili huwa zimelala?Hakuna mazingira haya kwa ss hapa Dar, kwanza plastic bags zilishapigwa marufuku mwaka wa nane huu thus y wakundustan wenzako wakija Dar wanashangaa jinsi mji ulivyo msafi, narudia tena hakuna mazingira kama haya Dar kwa sasaView attachment 2470009
Mbona sioni tofauti na nchi zingine? Ama unatafuta tu sifa?The way lease ya Tanzania ilivyo ni kama unamiliki ardhi whether 33 years or 99 years is as good as you own it but kisheria wewe sio mmiliki bali ni lessee. The owner of the land ni government and the government reserves the right to alter matumizi ya hiyo ardhi na kuichukua toka kwako kwa fare compensation at market price.
Land ownership and land leasing ni vitu viwili tofauti. Huwezisema kwamba anayemiliki ardhi na yule anayelease kutoka kwa serikali wako level moja. Whether you lease it for 99 years, the thing is that at some point the government will come for its land and this will affect your generation in one way or the other.The way lease ya Tanzania ilivyo ni kama unamiliki ardhi whether 33 years or 99 years is as good as you own it but kisheria wewe sio mmiliki bali ni lessee. The owner of the land ni government and the government reserves the right to alter matumizi ya hiyo ardhi na kuichukua toka kwako kwa fare compensation at market price.
Picha za enzi za Mkapa
No plastic bags in Dar as we speak, alafu kwann unaweka picha za mawinguni? Weka picha za chini kama hiviView attachment 2469981View attachment 2469982View attachment 2469983
Ndio slum kubwa kuliko zote duniani na wanaisoma kwenye vitabu so anakuja kuangalia je yale yaliyoandikwa kwenye kitabu ni kweli? Anakuja kukuta ni kweli kabisaTourism attraction.













Wanafosi tufanane, nchi lao wameliharibu now wanafosi kufanana na nchi za watu wenye akili![]()
![]()
![]()
![]()
Kumbe hadi baby diapers zimekua kero huko naiporiPitia kwenye hii account ili uwachape vizuri hawa wachafu.
Hii account huwa inapost namna kamji kao kalivyo kachafu.
Pole sana, i see the pain 😫 in this commentSi Kawaida yenu picha zote mbaya huwa ni za 90s!
Hakuna mazingira haya kwa ss hapa Dar, kwanza plastic bags zilishapigwa marufuku mwaka wa nane huu thus y wakundustan wenzako wakija Dar wanashangaa jinsi mji ulivyo msafi, narudia tena hakuna mazingira kama haya Dar kwa sasaView attachment 2470009



Thanks brother kwa maelezo mazuri.Dhumuni la kuanzwishwa kwa NHC halikua uwekezaji wa nyumba ghali? Shirika lilianzishwa ili kujenga nyumba nafuu kwa wananchi wa kawaida.
Ukiacha maghorofa ya wahindi serikali iliyowanyang'anya, nyumba za kwanza kwanza walizozijenga ni pamoja na yale maghorofa ya Keko Bora kwa wananchi wa kawaida.
Hawa akina Kikwete na Kinana (Rizwani anatumwa tuu) wanayajua yote hayo kwasababu walikuwa vijana kipindi hicho. Ni ulimbukeni wao tuu wa pesa na kuiga iga mambo, wameibadilisha NHC kuwa yakitajiri. kama wanataka kuwa real estate developers, si waanzishe tuu kampuni zao binafsi? Kwa nini watumie mgongo wa serikali?
I don't know everything, but I know a lot about a lot.You don't know anything about anything.