NairobiWalker
JF-Expert Member
- Oct 31, 2012
- 16,386
- 17,968
Azania Drive, Mombasa
Cha msingi ni kwamba umetoka kijijini umekuja kushangaa kuona mashine Kama hiyo mjini. Zimejaa kwenye banking halls huku kwetuHii ni Dodoma wala hata sio Dar View attachment 2470748
Hakuna kulala Ni kazi tuu👇
Tunangoja mpya za Tanzania pia.Wakenya mbona hakuna project mpya. Au maendeleo yamefika mwisho?
Check ukurasa wa nyuma tu utaona. Japo wewe ni NairobiWalkerTunangoja mpya za Tanzania pia.
Ushabiki zingine ni za kijinga sana. Mombasa na Zanzibar wapi na wapi!Na kwa siku zinavyozidi kusonga ZnZ inaweza top miji mingi sana kwenye sector ya real estate hapa EA ..
Nakubaliana nawe kwa mambo mengi uliyosema, especially uwezekano wa serikali kukunyanga'nya ardhi if you don't comply with certain rules, lands mojawapo. Lakini ukweli ni kwamba serikali ikikukodishia ardhi, it reserves the right to renew that lease or reject it all together. Ki ufupi ni kwamba you are at the mercy of the leaser (the government). If it decides not to renew tht lease, you have nowhere to complain even if you have been paying land rates.View attachment 2470750
Nchi mbali mbali huwa zinatumia lugha tofauti katika kuelezea sheria za umiliki ardhi. Lakini serikali ndiyo mmiliki halisi wa ardhi na inauwezo wa kumnyang'anya mwananchi yeyote hata kama anayo hatimiliki. Kama atakiuka sheria, ikiwemo kutokulipa kodi.
Naona unetafuta picha uliyopiga juuu then unalinganisha na picha iliyopigwa kwa ukaribu 🤣🤣 the only thing mombasa is ahead of Unguja ni bandari tu mzee kwasababu hata real estate, tourism, airport na hotels Zanzibar ipo juu ya Mombasa by farUshabiki zingine ni za kijinga sana. Mombasa na Zanzibar wapi na wapi!
Zanzibar
View attachment 2470783
Mombasa
View attachment 2470785
Yeah, mimi ni NairobiWalker Walker255 Nicxie Nairoberry nairobae na hata MK254Check ukurasa wa nyuma tu utaona. Japo wewe ni NairobiWalker
Mengine unaongeza mwenyewe tu. Wewe ni NairobiWalker huwezi kukwepa hilo. Ninajua unajua kuwa ninajua. Na unajua wapi ulijichanganya.Yeah, mimi ni NairobiWalker Walker255 Nicxie Nairoberry nairobae na hata MK254
Sasa tuoneshe projects. Mbona sijaziona? tutajie hapa project zenu mpya kando na zile tunazozijua kama SGR, JNHPP, BRT n.k. 🤣 🤣 🤣
You're right. Nipe listi basi.Mengine unaongeza mwenyewe tu. Wewe ni NairobiWalker huwezi kukwepa hilo. Ninajua unajua kuwa ninajua. Na unajua wapi ulijichanganya.
Huwezi ukaweza kupenya kwa watu smart.
Tuanze na BRT. Huko kenya mpango wa BRT bado upo?Yeah, mimi ni NairobiWalker Walker255 Nicxie Nairoberry nairobae na hata MK254
Sasa tuoneshe projects. Mbona sijaziona? tutajie hapa project zenu mpya kando na zile tunazozijua kama SGR, JNHPP, BRT n.k. 🤣 🤣 🤣
BRT ni mradi mpya? 🤣 🤣Tuanze na BRT. Huko kenya mpango wa BRT bado upo?
Tunaanza na BRT Phase 2,3,4. Vipi kwenu mpango bado upo?You're right. Nipe listi basi.
Phase 3,4 ndiyo ni mpya. Vipi huko kwa Ruto mnaendeleaje kuhusi BRT au imepotea?BRT ni mradi mpya? 🤣 🤣
Umesema miradi mipya alafu unalisti mradi umeakuwa ukijengwa tangia sijui 2010 huko. 🤣 🤣Tunaanza na BRT Phase 2,3,4. Vipi kwenu mpango bado upo?
List miradi mipya kaka, ondoa BRT, JNHPP, SGR sijui Dodoma mji wa serikali. Tupe mradi mpya mbao hatujausikia.Phase 3,4 ndiyo ni mpya. Vipi huko kwa Ruto mnaendeleaje kuhusi BRT au imepotea?
Unataka tuondoe BRT, SGR, JNHPP, Ujenzi wa Dodoma.List miradi mipya kaka, ondoa BRT, JNHPP, SGR sijui Dodoma mji wa serikali. Tupe mradi mpya mbao hatujausikia.
Tunaanza na hapaList miradi mipya kaka, ondoa BRT, JNHPP, SGR sijui Dodoma mji wa serikali. Tupe mradi mpya mbao hatujausikia.