Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

.....wakenya wakigundua hii.. nayo, ile kicheko itaanguliwa hapa.!
acha tu!.

...walai hapa waTz walichezwo...
yani, walipigwa bafu chafu!

.....na baadooooo............
Wewe jifurahishe na typo tuu but reality will bite soon.

Rejea the same document

Cargo speed is 120kph
Screenshot_20221126-075526_Office.jpg
 
Kuna watu wamekosa akili kweli, train wanazosema zina functional AC zimefungua madirisha wazi upepo uingie

Hivi watu mnajua kweli maana ya full cabin AC?View attachment 2427627
Hizo zao sio AC mkuu hizo ni extractor fans kwaajili ya ku maintain cabin air flow na pressure incase train zikipishana na wakati zikiingia kwenye tunnels. HVAC system huwa inakuwa katikati ya behewa.
 
gmo is not bad... hawa wabunge hasa olekina, wana boo

Ukisha kuwa na gmo nchini bidhaa zenu za mashambani zitapungua thamani kwenye soko maana bado watu wengi duniani hawajakubali gmo. Na wakijua chakula kinetoka kwenye nchi inayotumia gmo kuzalisha chakula ndio kabisaa hawatanunua bidhaa zenu za kilimo hii ni kuua kilimo chenu na kufanya wakulima wenu masikini and it is akin to economic suicide.
 
Tanzania ndiyo nchi yenye uchumi mkubwa usio shaka hapa EA, tumenunua ndege mpya kwa wakati mmoja cz uwezo huo tunao, wewe na kichwa chako kidogodogo icho unadhani tutashindwa kununua EMUs? Yn tujenge infrastructures za kupitisha EMUs kwa mabilioni ya dollars zen tushindwe kununua EMUs ambazo hazifiki hata theluthi ya gharama za infrastructures za kupitisha EMUs? Unaakili kweli wewe?

Sisi ni taifa lenye akili zaidi ukanda huu nadhani mmeshaona akili zetu zilivyo kubwa, now tunaleta EMU za kwanza na za mwisho hapa EA cz hakuna nchi ya EA itakuwa na EMU kwa miaka 2000 ijayo. Mjiandae kuja kupanda EMU mtake msitake.
Tunajenga miradi mikubwa kwa wakati mmoja SGR, Julius Nyerere Hydro Power, tunanunua ndege cash, bado tunajenga madaraja, BRT, Meli, ports expansion na miundombinu mingine bila kufa njaa wala shilling kutetereka agaist USD.

Uchumi mkubwa haukai kwenye karatasi bali unaonekana kwa vitu unavyofanya.
 
Kuna Train Type aina Mbili

1.EMUs ambayo zinakuja kwa set zitakuwa 10 sets to start with ,like how i wrote in previous posts EMUs will be from Hyundai Rotem na dili linajulika, hizi ndo i think design itakuwa kama renders na watu watavifurahia zaidi(Hence the term KISASA)

2 Electric Locomotive Engines hizi zitakua zinavuta mabehewa , zitakuwa 17 nazo from Hyundai Rotem,

3.SGR wagons hizi zimekuwa ordered from varuous companies mfano hizo passengers wagons ambazo kila mtu hajavutiwa, nazo zimetoka SSRT company ya Korea nayo ambayo walipewa tender ya kutengeza 60 like those but Interiors ni tofauti(Classes), pia kuna Wagons za mizigo 1430 from China ,

Hizo wagons zitavutwa na Electric Locomotives Engines ambayo hata moja bado hatujaiona (I hope Rangi zitakuwa nzuri).

4.I hope pia the next orders of SGR psssenger wagons will be good than hizi za SSRT
Rangi ni taste ya mtu na si kitu cha kushikia bango! Huwezi kushinda humu unakandia rangi za mabehewa! Rolling stocks haziwezi kuwa na Rangi nje ya zile rasmi za TRC! Mrangi wako wa njano uliopendekeza mwenzio anaweza akawa haupendi!
 
Tunajenga miradi mikubwa kwa wakati mmoja SGR, Julius Nyerere Hydro Power, tunanunua ndege cash, bado tunajenga madaraja, BRT, Meli, ports expansion na miundombinu mingine bila kufa njaa wala shilling kutetereka agaist USD.

Uchumi mkubwa haukai kwenye karatasi bali unaonekana kwa vitu unavyofanya.
BRT loan
SGR loan
Meli loan
Port loan
Dam loan
Bridges loan
 
.....wakenya wakigundua hii..
nayo, ile kicheko itaanguliwa hapa.!
acha tu!.

...walai hapa waTz mlichezwo...
yani, mlipigwa bafu chafu!

.....na baadooooo............
Treni pekee ya umeme ya EA ambayo ipo Tz itasafiri kwa max. speed ya 200km/hr kwa passenger train na max. speed ya 160km/hr for freight ata mlie hamtobadili ukweli huo.
 
Back
Top Bottom