President of China
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 31,772
- 89,799
Sasa unakuja kwenye thread ya battle btn Dar and Nairobi kisha ulete maelezo tofauti na battle je, utakuwa umetutendea haki?Nimeshakwambia kuwa sijihusishi na mashindano yasiyo na msingi. Sifaidiki Kwa kufahamu aina ya gari linaloendeshwa zaidi Kenya. Ninachotaka kuzungumzia ni post iliyoonesha basi lenye hali mbovu likibeba abiria. Kama hili si lengo lako pia, tafuta mtu mwingine wa kuzungumza naye kwasababu mimi sina muda wa kupoteza.
Tukikuuliza unakuwa mkali, je, mwenyehekima anatabia hizo?
