Sama boy 255
JF-Expert Member
- Mar 5, 2021
- 13,806
- 41,703
Always .. ingia google then andika kwa kiswahili "gari za Mbagala" Halaf kaangalie Picha utaona ..Eti always overcrowded kwani abiria hawashuki, tafuta excuse ingine we pimbi.
Always .. ingia google then andika kwa kiswahili "gari za Mbagala" Halaf kaangalie Picha utaona ..Eti always overcrowded kwani abiria hawashuki, tafuta excuse ingine we pimbi.
Unapinga nini na wenzako wanasema ni ukweli. 🤣 🤣 🤣Always .. ingia google then andika kwa kiswahili "gari za Mbagala" Halaf kaangalie Picha utaona ..
You are allowed to import very old cars, over 20 years na bado wengi wenu hata baiskeli hamwezi afford.
Unapinga nini na wenzako wanasema ni ukweli. 🤣 🤣 🤣
Unataka kupinga hao sio wabongo?😂Unalazimisha.? 🤣🤣🤣
Unalazimisha.? 🤣🤣🤣Unataka kupinga hao sio wabongo?😂
Hii ndio mbagala ninayoijua mimi sio ile empty car ulipost🤣🤣🤣🤣
Jibu la mjinga ni kunyamaza.
![]()
Are Probox and Fielder SUVs? Enda uskie vibaya kwa choo.
Nimeshangaa sana kijana huyo kutoka kundustan. Badala ya kutuonesha hizo gari anaruka ruka tu.Kwenu ni probox na filder full stop🤣🤣🤣
Hii moja tu hapo Dar is a slum.🤣🤣🤣🤣
Sasa kuna kitu gani cha kucheka hapo? Ubovu wa miundombinu umekuwa-exposed sasa huna la kusema. Eti “Unalazimisha.” Na ukweli ni kuwa mabasi ya aina hii Ndio yana-serve asilimia kubwa ya watu wanaoishi kwenye low-income areas. Mji hauna standards za usalama wa usafiri, wanaachia individuals kuamua kivyao, hata kama waki-compromise usalama wa wananchi. Ndio Maana ajali za barabarani Tanzania ni nyingi sana!Unalazimisha.? 🤣🤣🤣
Kwa hiyo hiyo tuliyoiona si picha halisi? Ni AI generated image? 😂😂Always .. ingia google then andika kwa kiswahili "gari za Mbagala" Halaf kaangalie Picha utaona ..
Hebu tuletee most brand car in kenya tucheke kidogo.Kwa hiyo hiyo tuliyoiona sio picha? Ni AI generated image? 😂😂
This has nothing to do with Kenya, so I don’t know what you’re talking about.Hebu tuletee most used car in kenya tucheke kidogo.
Tulikuwa tunaongelea hicho mzee. Au umetoka kunywa chang'aa?This has nothing to do with Kenya, so I don’t know what you’re talking about.
Rudi kwenye comment yangu Halafu utumie faculty zako uone kama nimeandika neno “Kenya.” Mimi sijali mlikuwa mnazungumzia nini, nimeandika comment Kwa context yangu. Hizo petty competitions si arena yangu.Tulikuwa tunaongelea hicho mzee. Au umetoka kunywa chang'aa?
Sasa mzee unaibuka tu bila kufuatilia yanayoendelea. Je unaitendea haki hii thread?.Rudi kwenye comment yangu Halafu utumie faculty zako uone kama nimeandika neno “Kenya.” Mimi sijali mlikuwa mnazungumzia nini, nimeandika comment Kwa context yangu. Hizo petty competitions si arena yangu.
Nimeshakwambia kuwa sijihusishi na mashindano yasiyo na msingi. Sifaidiki Kwa kufahamu aina ya gari linaloendeshwa zaidi Kenya. Ninachotaka kuzungumzia ni post iliyoonesha basi lenye hali mbovu likibeba abiria. Kama hili si lengo lako pia, tafuta mtu mwingine wa kuzungumza naye kwasababu mimi sina muda wa kupoteza.Sasa mzee unaibuka tu bila kufuatilia yanayoendelea. Je unaitendea haki hii thread?.
Turudi kwenye topic.
Kati ya Prado na Probox gari gani inatumika zaidi kenya?