Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Yah kama itazidi sn ni 37.
Screenshot_20230102-105828.jpg
 
Kuna watu humu wanapost kuhusu vita ya Russia dhidi ya Ukraine, ambayo haina mahusiano yoyote kuhusu hii “battle” yenu. Umeshawahi kuwauliza hilo swali? Lengo la Jamii Forums ni kutoa platform ya kujieleza bila mipaka. Kwa hiyo nitatumia haki yangu accordingly.
Sasa wakipost ww unaumia nn au ww ndio mwenye hii thread ww siumekuja juzi juzi tu hapa tunakuona je sisi wakongwe utatuambia nn 🤣🤣🤣
 
Lexus LX 600 this is double the price of a Land Cruiser 300 zile mumezoea huko bongolala. Lexus hua wametambua Kenya.🤣 🤣 🤣

Image

Image
 
Back
Top Bottom