Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

League na timu ya taifa ni vitu viwili tofauti kabisa, timu ya taifa inategemea na wachezaji ulio nao. Sisi hatujui mpira kabisa, hii ligi yetu ni bora kwasabu tuna pesa tunanunua mchezaji tunayetaka na ndiyo maana unaweza kuona hata timu zetu za vilabu kwa ss huwezi kuziweka level moja na timu za ukanda huu haiwezekani zipo mbali sn kwa ss. Yote hyo ni kwasababu timu zetu zina wachezaji wa gharama kutoka mataifa ya West Africa, ulaya na Amerika.
So unajivunia nini kama huo "ubora" wa ligi haisadii timu yenu ya taifa? The pride is not in the league, but the performance of the national team. Ndio maana ligi nyingi ziko na kitu kinaitwa Player Quotas (Google that). Hii inawekwa ili kulinda performance ya national team. Wewe ni kilaza sana
 
Tunamiliki 60% ya safaricom. 35% govt, 25% (free floating)local investors.
Haya tushangilie wote na hio 35?% 🤣🤣🤣
Screenshot_20221229-202957.png
 
Alafu unategemea huyo mwarabu aelewa maana ya free floating ni nini?😂😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣free floating maana yake ni wakenya pekee ndio wanamiliki au sio 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
I don't like to argue with fools. I don't like to deal with people who walk around with shit
Lazima utakuwa ulikuwa unafeli hesabu shuleni SGR TZ train length 2km Kenya SGR 1km, axle load SGR TZ 35 tons per axle Kundustan SGR 25 tons per axle, Speed Tz SGR freight 120kph Kundustan SGR freight 80kph. Siding rail length per comparable distance TZ SGR 3x that of Kundustan

Sasa prove to me how on earth Kundustan SGR can out compete TZ SGR?
 
Asante Kwa hii screenshot Yako. 35+25 ni ngapi? Najua hujuangi hesabu so acha tu nikusaidie. Ni 60%🤣🤣😂😂
Ukipata ushahidi free floating ninwakenya nitag nifunge acc 🤣🤣🤣 kwa sasa ridhika na 35%
 
So unajivunia nini kama huo "ubora" wa ligi haisadii timu yenu ya taifa? The pride is not in the league, but the performance of the national team. Ndio maana ligi nyingi ziko na kitu kinaitwa Player Quotas (Google that). Hii inawekwa ili kulinda performance ya national team. Wewe ni kilaza sana
Najivunia hiki hapa [emoji116][emoji116][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Alafu we punga ligi ina faida kuliko national team punga wewe, ligi inatengeneza ajira na kutangaza nchi pengine kuliko hata national team.
Screenshot_20221229-192305.jpg
 
Asante kwa hasira kali 🤣🤣🤣 nitabakia hapa kuwanyoosha mpaka munichukie kabisa
Mbona tuchukie mwenye Hana akili? Hiyo nguvu ya kukuchukia nayo si heri niende nichimbe nayo kaburi langu😂😂🤣🤣
 
Mbona tuchukie mwenye Hana akili? Hiyo nguvu ya kukuchukia nayo si heri niende nichimbe nayo kaburi langu😂😂🤣🤣
Ukipata free floating ni ya wakenya nitag nifunge acc 🤣🤣🤣🤣 kwa sasa ridhika na 35% nanuvumilie kwa maumivu makali sana
 
Ukipata free floating ni ya wakenya nitag nifunge acc 🤣🤣🤣🤣 kwa sasa ridhika na 35% nanuvumilie kwa maumivu makali sana
Mbona unateseka na tushakubali hizo free floating ni za watanzania? Ama hamjiamini?🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom