Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Acha kujifariji bongolala. Hiyo ligi yenu ingekuwa bora ingejidhihirisha kwenye matokeo ya timu yenu ya taifa
Unaweza kuona hapa jinsi ligi yetu ilivyo bora, haipo hapo kwa bahati mbaya ni investment kubwa imefanyika, hata bingwa wa ligi kuu ya Tanzania anapata pesa nyingi sana karibu mara 20 ya anachopata bingwa Kenya. Ndio maana ndoto za wachezaji wote East and Central Africa ni kucheza Tz kwanza kabla ya kwenda ulaya. Huku mchezaji mpira analipwa mshahara mkubwa kuliko Rais wa Kenya.
Screenshot_20221229-192305.jpg
 
Tofauti ni kama mbingu na ardhi [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Screenshot_20221229-200557.jpg
Screenshot_20221229-200630.jpg
 
Kaka, Mwanza ni mji ambao una viongozi hawana vision kabisa.
Halafu wanaamini hakuna kitu wanaweza fanya bila serikali kuu kuwapa fedha, kwa ujumla no uthubutu
Huu mkoa angepewa yule jamaa aliempeleka njombe. Hii ni challenge ya hadhi yake.

Natumai wataacha siasa sana na kuangalia utendaji wa kazi tu. Mwanza ni mji wa pili kwa umuhimu. Mida umefika sasa upate attention unaostahili
 
Kenya bingwa anapata milioni 20, kwa maneno mengine ni kwamba Feisal salum toto mchezaji wa Yanga anaweza akalipa prize ya bingwa na asihisi chochote kuhusu mfuko wake [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Tofauti ni kama usiku na mchana, alafu mtu anataka kulinganisha soka la Tanzania na Kenya, unaambiwa ikitoka SA inafata bongo kwenye suala la pesa toka kwa wadhamini.

The difference is like day and night [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Ngoja tupige kwa rate ya sasa.

1ksh = 18tsh

1,000,000 × 18 = 18,000,000

So, bingwa Kenya anapata 18,000,000 Tsh
Bingwa Tz anapata 600,000,000 Tsh.

Take 600,000,000 ÷ 18,000,000 = 33.3333

So, bingwa Tz anapata zaidi ya mara 33 ya anachopata bingwa Kenya [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Screenshot_20221229-200557.jpg
Screenshot_20221229-200630.jpg
 
Nimecheka sana [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Sisi mpira hatujui ila tuna pesa tunasajiri mchezaji yoyote yule hapa Afrika na ndiyo maana ligi yetu ni moja ya ligi bora Afrika, wachezaji wote ukanda huu ndoto yao ni kucheza Bongo.
Asante kwa kukubali hamjui mpira. Now linganishaneni na rika zenu Somalia. Lastly, ligi yenu ingekuwa bora ingemanifest kwenye performance ya timu yenu ya taifa. Nchi zote zenye ligi bora timu zao za taifa zinafanya vyema kwenye mpira
 
League na timu ya taifa ni vitu viwili tofauti kabisa, timu ya taifa inategemea na wachezaji ulio nao. Sisi hatujui mpira kabisa, hii ligi yetu ni bora kwasabu tuna pesa tunanunua mchezaji tunayetaka na ndiyo maana unaweza kuona hata timu zetu za vilabu kwa ss huwezi kuziweka level moja na timu za ukanda huu haiwezekani zipo mbali sn kwa ss. Yote hyo ni kwasababu timu zetu zina wachezaji wa gharama kutoka mataifa ya West Africa, ulaya na Amerika.
Repeat that again 🤣😂😂😂

1672334379967.png


1672334467130.png
 
Unaweza kuona hapa jinsi ligi yetu ilivyo bora, haipo hapo kwa bahati mbaya ni investment kubwa imefanyika, hata bingwa wa ligi kuu ya Tanzania anapata pesa nyingi sana karibu mara 20 ya anachopata bingwa Kenya. Ndio maana ndoto za wachezaji wote East and Central Africa ni kucheza Tz kwanza kabla ya kwenda ulaya. Huku mchezaji mpira analipwa mshahara mkubwa kuliko Rais wa Kenya.View attachment 2462525
Bongolala, nishakuambia kwamba ligi yenu ingekuwa bora timu yenu ya taifa haingekuwa number 38 hapa Africa
 
League na timu ya taifa ni vitu viwili tofauti kabisa, timu ya taifa inategemea na wachezaji ulio nao. Sisi hatujui mpira kabisa, hii ligi yetu ni bora kwasabu tuna pesa tunanunua mchezaji tunayetaka na ndiyo maana unaweza kuona hata timu zetu za vilabu kwa ss huwezi kuziweka level moja na timu za ukanda huu haiwezekani zipo mbali sn kwa ss. Yote hyo ni kwasababu timu zetu zina wachezaji wa gharama kutoka mataifa ya West Africa, ulaya na Amerika.
Repeat that again 🤣😂😂😂

1672334958074.png
 
Sitoshangaa kama bingwa wa ligi ya wanawake Tz anapata prize kubwa kuliko bingwa wa ligi ya wanaume Kenya mana timu zimesajiri professional players tupu. Juzi niliangalia simba na YANGA wanawake nilienjoy sn [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Bongolala, nishakuambia kwamba ligi yenu ingekuwa bora timu yenu ya taifa haingekuwa number 38 hapa Africa
Aibu [emoji116][emoji116][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Screenshot_20221229-200557.jpg
Screenshot_20221229-200630.jpg
 
Kumbe ndio maana Yanga au Simba zikicheza na timu za Kenya zinapanga kikosi cha watoto, mm nataka siku timu ya Kenya ijichanganye tupangwe nayo kwenye mtoano alafu watajua kwnn ligi yetu ni bora kwa ss [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom