Nitajie mbona 🤣🤣🤣 hilo bus naliona moja tu kutoka master au kuna lingineAti moja? Naezakutajia makampuni za mabasi zaidi ya kumi that uses Kenyan buses😂😂🤣🤣
Pole. Made in Kenya by Kenyans for Kenyans 🤣🤣🤣Bus zenyewe ndio zile eldoret express kajamba nani 🤣🤣🤣🤣🤣
Mnachomelea bodi ya gari, uwezo wa kutengeneza engine ya bus mnao? labda mtengeneze bus za kunyonga na pedali...Kutengeneza ni Nini?
Nani hatengezi bus kutoka tanzania kwa ajili ya watanzania 🤣🤣🤣
Hio gari brand ipi?
Basi karibu zote Bongo saivi ni kutoka China. Nafkiri si muda mrefu tutapata assembling plant kama si manufacturing plant ya Youtong au zongtong .. mana kwa hii biashara now we lead the regionMwenye tahmeed ni mkenya mwenye asili ya tanzania tanga na mama yake mzazi anaishi tanga na sasa hvi anahamia kwenye bus za china baada ya kugundua siri kubwa kutoka kwa watanzania 🤣🤣🤣View attachment 2461555View attachment 2461556View attachment 2461557View attachment 2461558View attachment 2461559
Nitajie mbona 🤣🤣🤣 hilo bus naliona moja tu kutoka master au kuna lingine
Kuna mingi😂😂🤣🤣Nitajie mbona 🤣🤣🤣 hilo bus naliona moja tu kutoka master au kuna lingine
Sio kwamba hakuna zipo nyingi tu
Mingi ziko wapi iko wapi master logo 🤣🤣
Proudly made in Kenya by Kenyans for Kenyans 🤣😂Hio gari brand ipi?
Mingi ziko wapi iko wapi master logo 🤣🤣
Na watu hawajisifu 🤣🤣🤣
Kq owns 41% of PW!
Na watu hawajisifu 🤣🤣🤣
Still we control it.Kq owns 41% of PW!
Kampuni ya wahindi hio...Logo ya masters ndio hii hapa. Ukiangalia juu ya hiyo place imeandikwa Simba you will see the same logo😂😂
View attachment 2461568
U control what and its making loss kama kq 🤣🤣🤣 na yote kwasababu ya air tanzaniaStill we control it.