Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ebu tuonyeshe reli ikiingia ndani ya jengo tuone.
images (47).jpeg
 
Ww nae punguza ujuaji wa kijinga lengo kubwa ni hili hapa sikiliza kwa umakini na utulize kipapa hicho kila kitu hujifanya ww mjuaji
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
They say if you can't beat them you join them. Si eti wanachukia miti ya Nairobi. Ni vile tu wanatamani sana na wao wangekuwa na idadi sawa ya miti kwenye miji zao kama ilivyo Nairobi ndio maana unaona comments na posts kama za huyo jamaa hapo juu. Ki undani wanatamani sana greenery ya Nairobi ndio maana unaona posts kama hizi lakini kwa vile wanaendeshwa na chuki na wivu, wanakejeli the same thing they long to have
Hiyo Green hapa ilienda kukojoa itarudi? Naona shacks tu!

FkwIUQ6XwAE5a7H.jpeg
 
Back
Top Bottom