Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

View attachment 2458280
Ukiangalia hiyo picha ya chini utaona palivyoinuka.

kwa kutumia scale ya magari yaliyopaki (pickup trucks), roughly ni kama urefu wa magari mawili yakisimamishwa juu. Hivyo tunaweza kufanya assumption ya zaidi ya mita 10 kwenda juu, kama tukichukulia urefu wa Toyota Hilux (5.2m). Hivyo utaona render iko sawa kabisa.
The other side of the building Iko wapi? Train inafaa ipite katikati.
 
View attachment 2458280
Ukiangalia hiyo picha ya chini utaona palivyoinuka.

kwa kutumia scale ya magari yaliyopaki (pickup trucks), roughly ni kama urefu wa magari mawili yakisimamishwa juu. Hivyo tunaweza kufanya assumption ya zaidi ya mita 10 kwenda juu, kama tukichukulia urefu wa Toyota Hilux (5.2m). Hivyo utaona render iko sawa kabisa.
Toyota hilux urefu (height) hauzidi 2 m!
 
Hio ya juu muonekano wa nje nadhan ni cladding.. yan wataweka machuma machuma ya kuform structure nyingine ili jengo liwe na muonekano mwingine kama hiyo ya render.
Pia ndo mana katikat ya picha zote mbili kuna space imeacha..
Yeah kama ulivyosema ni cladding tu , hata ukiangalia machuma yameanza kuwekwa kuzunguka
 
Kwani height ndiyo urefu?
wewe unazungumzia height angalia scale uliyoweka! wacha ubishi! Ukikosea kubali!
sgr_dom-png.2458280
 
Urefu ni length, ukuchukulia urefu kama scale na ukiyasimamisha hayo magari kwa uwima kuelekea juu utaelewa nilichokuwa namaanisha. Spacial ability yako imeanza kuyumba?
Still umekosea huo urefu ni zaidi ya 5 m (length)! jengo lina 3 floors at over 14500 m^2 space area!
View attachment 2458280
Ukiangalia hiyo picha ya chini utaona palivyoinuka.

kwa kutumia scale ya magari yaliyopaki (pickup trucks), roughly ni kama urefu wa magari mawili yakisimamishwa juu. Hivyo tunaweza kufanya assumption ya zaidi ya mita 10 kwenda juu, kama tukichukulia urefu wa Toyota Hilux (5.2m). Hivyo utaona render iko sawa kabisa.
 
Hujasoma kwa makini nilichokiandika, nimetumia maneno kama 'roughly' na 'assumption' nadhani yanajieleza.
iwe rough estimation iwe what u missed by far! hilo jengo haliwezi kuwa na length ya 10 m au 5.2 m! 10 m ni ndogo sana! kila floor ina roughly 4500-5000 sq m! na kama height (kimo) Toyota Hilux haizidi 2 m! BTW kuna standards za height of a commercial Buildings!
 
So SGR kwako ni train ama rail?
Standard gauge ni upana wa reli kwa kipimo cha imperial (4 ft 8+1⁄2 in) ambacho wamarekani na waingereza wanakiita (imperial units) standard, kutofautisha na kile kipimo cha wafaransa cha metric.
The other side of the building Iko wapi? Train inafaa ipite katikati.
Inafaa? kwani wewe ndiyo mhandisi mshauri? Hata kwenye hiyo render utaona the other side ipo mwishoni, siyo katikati.
 
Okay. The station in Dodoma will definitely not be that way. The tracks are built along the edge of the back side of the building,. The railway is elevated because that side has a higher elevation than the front. All they’re gonna do is cover the back side so it appears as though trains are crossing into the building.
 
Standard gauge ni upana wa reli kwa kipimo cha imperial (4 ft 8+1⁄2 in) ambacho wamarekani na waingereza wanakiita standard, kutofautisha na kile kipimo cha wafaransa cha metric.
So what's the difference between your SGR na yetu?
 
Okay. The station in Dodoma will definitely not be that way. The tracks are built along the edge of the back side of the building,. They are elevated because that side has a higher elevation than the front. All they’re gonna do is cover the back side so it appears as though trains are crossing into the building.
Then there's no difference between that Dodoma station na station ya Mombasa.
 
Yeah, kama haipiti ndani then there's nothing special about it.
inapita kwa ndani hata hiyo design ya mchoro unaona treni zinapita kwa nyuma! Kutakuwa na roof ina-cover mpaka reli ya kwanza! ningependa kama inge-cover reli zote!
 
Back
Top Bottom