Unafikiria hizi ni zile uswazi zenu pale Dar..., Mombasa kwa wastani inalemea Dar makazi ya raiya wa kawaida.., ila both have swahili houses(uswazi), ila Mombasa has bigger standard estates za raiya, siongelei makazi ya matajiri, just normal residential estates Mombasa inazidi Dar jiji la uswazi 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂
Eti Bamburi haina access roads..., kilaza wewe😂😂😂😂😂😂, mko nyuma sana yaani mji wa pili una level na Dar na kuionyesha vumbi😂😂😂😂😂😂😂😂.,
View attachment 2455553
View attachment 2455546
View attachment 2455548
View attachment 2455551
View attachment 2455552