Teargass
JF-Expert Member
- Apr 23, 2018
- 26,985
- 27,993
With all the noise kumbe JNIA ni level ya Mombasa 😂😂😂
With all the noise kumbe JNIA ni level ya Mombasa 😂😂😂
Contacts tunazo. Siyo muda mrefu tutakujua
😂😂🤣😂😂Ndio...nimekula dadako
Nikupatie contacts zangu pia?🤣🤣😂😂Contacts tunazo. Siyo muda mrefu tutakujua
View attachment 2455491
Huwezi kunipatia kwa sababu wewe ni mwoga. Also I don't like ugly women.Nikupatie contacts zangu pia?🤣🤣😂😂
Wewe bongolala utasumbuliwa na Mombasa hadi lini?Asante sana kwa kunifurahisha ama kweli siku ya leo nimefurah sana 🤣🤣🤣🤣🤣 hii ni utumbo gani bro
Bamburi mtambo 🤣🤣🤣🤣🤣 nimecheka sana yani hata access ya road sioni naona vichekesho tu bro wallah leo nimecheka sana but thanks
View attachment 2455460
Mombasa sasaTanzania mtasubiri miaka zaidi ya mia hamtafikia level ya Kenya kwa hiki kizazi chenu.., usijitekenye, sawa mkuu nimeenda zangu, Mombasa dawa![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Nje ya Mombasa CBD, inland., kule mitaanipumzika dogo.., hautaweza ni tamthlia utaandika humu bila evidence
View attachment 2455442
View attachment 2455441
View attachment 2455444




Wew jamaaa....hii ndo mombasa mzee...aerial views zisikudanganye...bado sana...Where do they get the energy to start comparing Mombasa and kijiji cha Mwanza? They are just worlds apart
MwanzaView attachment 2455462View attachment 2455463
Mombasa
View attachment 2455467
Hawana😂Wow! Uhuru Park looks stunning. The revamp was long overdue. It has gicen this park a whole new vibe. Kule Dar kuna recreational parks kweli?
Nitafutie demu mzuri hapo Sai Pharmaceuticals.Hawana😂
Hizi vitu ziko mob Mombasa bana.Ukitaka raha njoo Tanzania. Hivi huko kenya mnajua kula bata!?
View attachment 2455351
Tafuta dawa ya erection kwanza ndio uanze kufikiria mambo za dem😂😂🤣😂Nitafutie demu mzuri hapo Sai Pharmaceuticals.
Hivi Shakira Mohamed bado yupi na yule bwana wake!?Tafuta dawa ya erection kwanza ndio uanze kufikiria mambo za dem😂😂🤣😂
Unajitutumua laki wapi!? Mambo haya tuachie sisi. Wewe endelea kwenye ajira yako hapo Sai Pharmaceuticals.
Tz is still among the Least Developed Countries. What's your take on that?😂😂Tofauti ya Kenya na Tz ndio iko hapa, akili, akili, akili. Can you imagine watanzania wanaongelea uzinduzi wa kujaza bwawa kubwa la umeme, ujenzi wa SGR ndefu zaidi ya umeme Africa, mageuzi ya huduma bora za afya (as we speak muhimbili tayari ndiyo hospitali bora zaidi East and Central Africa), mapinduzi ya kilimo chenye tija kinachopelekea chakula cha uhakika. Eti mko hapa kuongelea recreational park kweli?
Recreation inapatikana vipi wkt over 90% ya Wakenya wana njaa?
Recreation inapatikana vipi ikiwa nchi nzima imezungukwa na slums?
Recreation inapatikana vipi ikiwa over 70% ya wakazi wa ka Nairobi ni slum dwellers?
Kaa ufikiri bro usiwe hapa kutafuta sifa za uongo alafu mkiwa pekeenu mnalia.
Hapa unamfahamu nani toka Sai?Tz is still among the Least Developed Countries. What's your take on that?😂😂
Hizi ni vitu tulikuwa nazo kitambo sana.
Ningefahamu mamako but ubaya hayuko hapo.
These nikkas think life revolves around Tanzania