Airports zenu zote ni ever empty😂😂🤣😂Nakutaka usikimbie tu.
Unguja Zanzibar Tanzania
Abeid Amani Karume International Airport
View attachment 2455610
View attachment 2455612
View attachment 2455614
View attachment 2455617
Yakwenu yanawatoa mavi congo muatwezaThe most advanced army in East Africa.View attachment 2455620
Clip ndiyo hiyo.., Bamburi mtambo na Kiembeni, good and bad side.., nje ya Mombasa Island., mbali na CBD., such density kwa umbali huo kutoka CBD haupati in any town outside Dar.., ama utapinga?..,Naona hii picha mumeamu kujazijazia na uchafu uchafu hapo nyuma ili ionekane ni big area je nasema urongooooo?? Kataa sasa 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
View attachment 2455598
Sipendi kujadiliana na ugly women.Airports zenu zote ni ever empty😂😂🤣😂
Eti enhh zimejengwa bure tu 🤣🤣 na terminal 4 iko njiani kuanza nikupe taarifa ya kukuvunja moyoAirports zenu zote ni ever empty😂😂🤣😂
Halikuelewa the sarcasm.., yaani hayo miji hayana such.., 😂 😂 😂 😂Does this mean that, wewe na wakenya wenzako hamjui vile brt iko au reli ya umeme hamjui ilivyo just because hazipo kenya?
Clip ndiyo hiyo.., Bamburi mtambo na Kiembeni, good and bad side.., nje ya Mombasa Island., mbali na CBD., such density kwa umbali huo kutoka CBD haupati in any town outside Dar.., ama utapinga?..,
hizi mitaa sio za kitajiri..,
Bamburi
Kiembeni Mombasa..,
Good, now rest in peace😝😂😂😂😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 asante kwa kuonesha fake pic mbwembwe nyingi umekuja kudondokea pua leo nimecheka sana umekua sehem kubwa ya furaha yangu asante sanaGood, now rest in peace😝😂😂😂😂😂
Sawa mkuu nimetii 😝 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂
Yakwenu yanawatoa mavi congo muatweza
Sasa muda wako wa kuondoka Uhuru Park.Sawa mkuu nimetii 😝 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂
Ni kazi ya nani mama ngina au ??🤣🤣🤣Hizo sio kazi za KDF
Fake kivipi fafanua.., kwani ni photoshop? umeshangaa kuona Mombasa ni moto wa kuotea mbali unajaribu kujiliwaza, hapa kila mtu mwenye macho ameshuhudia, Dar haina jibu mitaa ya kawaida, ni uswazi ndio ya kulinganisha, potelea mbali na hekaya zako za abunuasi, hii ni kutoka kwa video clip😂😂😂😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 asante kwa kuonesha fake pic mbwembwe nyingi umekuja kudondokea pua leo nimecheka sana umekua sehem kubwa ya furaha yangu asante sana
RIP this pic 🤣🤣🤣🤣View attachment 2455633
Yani nimecheka sana tena sana ndio maana nimekwambia toka asbh kwa leo pumzika 🤣🤣🤣🤣🤣 yani ni vichekesho vikubwaFake kivipi fafanua.., kwani ni photoshop? umeshangaa kuona Mombasa ni moto wa kuotea mbali unajaribu kujiliwaza, hapa kila mtu mwenye macho ameshuhudia, Dar haina jibu mitaa ya kawaida, ni uswazi ndio ya kulinganisha, potelea mbali na hekaya zako za abunuasi, hii ni kutoka kwa video clip😂😂😂😂😂😂😂
![]()