Tofauti ya Kenya na Tz ndio iko hapa, akili, akili, akili. Can you imagine watanzania wanaongelea uzinduzi wa kujaza bwawa kubwa la umeme, ujenzi wa SGR ndefu zaidi ya umeme Africa, mageuzi ya huduma bora za afya (as we speak muhimbili tayari ndiyo hospitali bora zaidi East and Central Africa), mapinduzi ya kilimo chenye tija kinachopelekea chakula cha uhakika. Eti mko hapa kuongelea recreational park kweli?
Recreation inapatikana vipi wkt over 90% ya Wakenya wana njaa?
Recreation inapatikana vipi ikiwa nchi nzima imezungukwa na slums?
Recreation inapatikana vipi ikiwa over 70% ya wakazi wa ka Nairobi ni slum dwellers?
Kaa ufikiri bro usiwe hapa kutafuta sifa za uongo alafu mkiwa pekeenu mnalia.