Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hebu tupia picha za Airport yoyote ya Kenya

FX2N0T-WYAAi8wJ


FX2N1vzXEAEXSoO



FX2N3F5WIAE3xnY
Hawa ni wachina wa kuchimba madini wanarudi kwao acha ujinga😂😂🤣😂
 
Ameona a mere traffic ya watu on a specific day anadhani ndio definition ya busy..,,ata top 15 Africa hiyo banda la kuku haiwezi ingia, it is a village airstrip
Umeongea kwa uchungu sanaaa na ukijiendekeza utazeeka mapema
 
Acha wakope tu alafu tufikie hali ya Ghana na miradi yao isiwe na tija ndio tutaelewana vizuri...Nilitegemea hiki ndio kipindi cha kwenda taratibu wao wanaonekana wanapupa sana...

Matokeo yake mwaka ujao wa fedha watatenga zaidi ya 10trillions tshs kuhudumia mikopo
Na mimi ninawaza kama wewe, tungeenda taratibu huku tunaangalia hii miradi kama inalipa
 
Ghana per capita mwaka 2021 inasoma $2445
Vitu vingine hua hazihitaji kubishabisha unapoteza wakatiView attachment 2454690View attachment 2454691
Yani kumbe ulisema mghana ana maisha mazuri kuliko mtz kwasabu ya makaratasi

Usisahau na population difference, pia nikuambie tu ile cku Ghana itakuwa vzr kuliko Tz ndio cku najivua uraia rasmi naenda kuchukua wa Somalia
 
Hizi data zako kutoka MS Word!! Unajichosha kwa kweli.
Pingana na Tanzania Aviation Authority 🤣🤣😂🤣


In 2021 JNIA received only 1.5M passengers 🤣🤣😂

Mwanza your second city did less than 300k passengers in a year 😂😂

Arusha na Dodoma nazo hata sieziongelea😂😂
number_of_passengers_2015_2021.png
 
Pingana na Tanzania Aviation Authority 🤣🤣😂🤣


In 2021 JNIA received only 1.5M passengers 🤣🤣😂

Mwanza your second city did less than 300k passengers in a year 😂😂

Arusha na Dodoma nazo hata sieziongelea😂😂
View attachment 2454720
Jipige kifua na useme wakenya ni wapumbavu. Sasa uhusiano wa Data zako na hizi wapi na wapi?
 
Hapendi ukweli huyo mwehu, mie namjua vizuri
Yani kwasababu yeye anaishi vizuri basi anadhani watz wnamaisha mazuri
Kuna watu kibao wanaishi maisha mabovu sana hawezi jua maana mambo yake mazuri
 
Back
Top Bottom