The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,480
- 98,527
Nmewaomba wanitajie coverage ya Citizen tv wameishia kuongea utumbo tu ulioambatana na wivu. Mtu na akili zako unawezaje kushindanisha local tv vs global tv, utakuwa kichaa.Kitu ambacho hujasema na hautasema ni kwamba Azam TV inaenda Afrika nzima na Citizen TV imeishia Kenya, hata ukiangalia kwenye other super brand businesses, Toyota ina followers wengi na matangazo mengi kuliko Ferrari.![]()


