Kama Uhuru was miles ahead of him kwnn unamchukia sasa wakati Uhuru alikuwa mbele na kamzidi? Uliona wapi winner akawa na jealous kwa looser?He tried competing with Uhuru and his reward was death. Uhuru was miles ahead of him.
But si alishindwa kuzimaliza?So kama idea ya kiikwete na magifuli alafamya iwe real tena kwa maamuzi magumu kuna shida gani au ww hapo unaumia nn zaidi 🤣🤣🤣🤣 mbona dam ya nyerere ilikua ni wazo la nyerere lakini magufuli kafanya real pamoja na vikwazo kutoka kwa wazungu tatizo liko wapi au ni wapi ww unawashwa tukukune
Huu ni ukweli au uongo!?The hands of Kenyans.
LSHS
View attachment 2453076
AVA
View attachment 2453080
Master.
View attachment 2453082
Banbros
View attachment 2453087
Choda
View attachment 2453091
Ameua nchi gani na tunacontrol was Tanzania?Ahead na ameua nchi tayar 🤣🤣🤣🤣 binaadamu anasaga nyasi kutafuta ugali
Vitu safi. Wale wavivu hata tuktuk hawawezi assemble.The hands of Kenyans.
LSHS
View attachment 2453076
AVA
View attachment 2453080
Master.
View attachment 2453082
Banbros
View attachment 2453087
Choda
View attachment 2453091
Leo nimeamua kwenda naye taratibu wala sina haraka nayeKinachowauma ni kwann aliwaamsha watanzania wengi na kuiamsha nchi iende kiushindani ndio maana wanamchukia








Ndio mnavyodanganyana hivyo hapo Kibera.Ameua nchi gani na tunacontrol was Tanzania?
So you accept that Magufuli cheated you?😂😂🤣🤣Now do the maths for the total length of SGR tracks we are going to have? It is marvellous, isn't it?
Petty issues tutolee hapa tuna deal na big issues.Itawachukua miaka ingine 25 kupata barabara kama hizo ndani ya estates.
Refer to my original response.Nimekuuliza hiyo SGR urefu wake ni KM ngapi!? Inatoka wapi na inaishia wapi!?
Naomba kueleweshwa.
I don't engage people with no functioning SGR. Ngoje mtumba ianze kazi kwanza ndio tujadiliane.Huu ni ukweli au uongo!?
View attachment 2453093
Watapata wapi akili ya kutengeza?Vitu safi. Wale wavivu hata tuktuk hawawezi assemble.
Langata Road Nairobi.
Mwarabu bandia atasema hapa ni South Africa.
Jamaa wameshaumizwa tayari
Sawa. I checked your response sijaona urefu wa SGR. Unaweza kunisaidie maana kuna mtu hapa anauliza.Refer to my original response.
Real deal