Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

I think saying we are reliant on natural resources is not right apart from mining which makes less than 10% of GDP how is that relying on natural resources ? we dont have oil and we have not yet processed a big chunk of Gas . We mostly depend on Agriculture na Services .Manfcturing inakuwa ingawa bado ni low tech na sio high tech , but we dont need that much high tech , just low tech done at bigger level ili ku employ masses with no high education. By low tech i mean ( we should start simple , textile, food processing, utensils , hii kukwamua watu wenye basic education level

While also investing in research and high tech, ambazo zita employ the generation which are graduates in coming 10 years

Yeah the metrics of HDI zipo kama unavyosema and what am saying is that Samia anajitahidi ku improve same metrics

1. Umesikia Project ya kujenga new univesities na kupanua campsues kuongeza enrlloment ? Ipo na ishaanza kutekelezwa 14 new campuses and expansion of old

2. Madarasa yanajengwa kila kukicha Atleast enrollment numbers zimeongezeka na walimu wanaongezwa

3.About health , facilities zinaongezeka , ambulance zimeongezwa , kuna Bima Affordable kama ICHF ya only 30K a year which mtu anaweza kupata basic care.Naona Hospital mpya nying zimepata EMDs na ICUs . Bado Doc to Pt ratio sio to standard that needs massive improvement

4.Life expectancy takes alot kuiongeza and hapa education inahitajika kwa ukubwa inculding kupunguza Emergencies za Motor accident na event za uokoaji kuongezeka , Uwezo wetu wa ku respond ni mdogo.Bado watu hawajui sana kuhusu chronic (Non communicable diseases) pia bado Communicable diseases nyingne zinaendelea kutusumbua hili litashukua muda kidogo lakini linahitaji .

5.Water services na mpa hongera na alot of diseases can be prevented na maji safi na hygine , wamejitahidi kusambaza na kuchimba visima
Mkuu huyo jamaa ukimjibu ni kama unajisumbua tu, huyo ana hasira zake binafsi wala sio kitu kingine mkuu, hakuwaga hivyo ila tangu atofautiane na members humu basi akaasi na kuanza kuiponda nchi yake. So huyo sio kwamba hajui kama nchi ime improve no bali anaponda kila kitu, na kuna wakati anaiponda Tz kwa kulinganisha na USA
 
Kibera slum has better roads than dar-is-a-slum
Hapo ni Kibera au barabara kuu imepita Kibera? Hebu niambie mazingira kama haya barabara itapita wapi
tapatalk_1597789156662.jpg
tapatalk_1599415288159.jpg
Screenshot_20220719-204703.jpg
tapatalk_620680967_512x352.jpg
Screenshot_2020-10-14-09-10-00.jpg
tapatalk_1596226806823.jpg
 
Hapa EA hakuna nchi yenye matajiri wakubwa,uchumi imara na ulinzi madhubuti kama Tanzania…..juzi nilikuwa kisumu,kuna report article inasambazwa kuwa wapo juu kwenye electric accessibility kutuzidi sisi,aiseeh ninawaomba muwapuuzeni ni waongo sana hawa jamaa…….kenya hasa pale kisumu nzima umeme wa kenya power huwezi kuupata kirahisi bali ni special kwa shule na taasisi za umma lakini wananchi wanatumia solar sana kuliko hiyo kenya power………..Hawa ndugu zetu wanatia huruma sana ninawaombeni watanzania wenzangu mkiwa mnabishana nao muwazoee sana maana wanatafuta sehemu ya kupunguzia hasira za ugumu wa maisha kule kwao
Unachokisema ni kweli Kenya wanaangaika sana na umeme....tena huko vijijini ndo ovyo kabisa ....Tazama hapa

 
Screenshot_20221219-125231_Google.jpg
haya bass..
ruto alikua jana qatar🇶🇦 for worldcup finals, lakini hiyo sio hoja kwetu, sio issue hataa kidogo..
na hataa hatutaki kujua shughli zake ruto uko nje....


na try tu ku imagine, ingekua mama alizuru qatar🇶🇦 for worldcup finals!!🤔🤔 ile kelele ingekua hapa!....
yaani mama angekashifiwa ile mbaya!😠😠💥

nb:
ndomaana tanganyika hamuwezi endelea. mnataka mama akae tu nyumbani kamavile magafulu, na wala asitoke nje aka meet na potential investors, na ku gain motivation and inpiration, jinsi nchi zingine wameweza kufanya, ili pia alete hio maendeleo nyumbani..
mnafurahia sana akibaki tuu mashambani, na kua mshamba kwa kukaa tuu bongolala jinsi magafulu alivyo fanya.. 🤔🤔
 
Back
Top Bottom