Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

The plots near this road will develop. This is what Kibera needs - more of such roads will open it up.
kibera .jpg
kibera 1.jpg
 
Hapa EA hakuna nchi yenye matajiri wakubwa,uchumi imara na ulinzi madhubuti kama Tanzania…..juzi nilikuwa kisumu,kuna report article inasambazwa kuwa wapo juu kwenye electric accessibility kutuzidi sisi,aiseeh ninawaomba muwapuuzeni ni waongo sana hawa jamaa…….kenya hasa pale kisumu nzima umeme wa kenya power huwezi kuupata kirahisi bali ni special kwa shule na taasisi za umma lakini wananchi wanatumia solar sana kuliko hiyo kenya power………..Hawa ndugu zetu wanatia huruma sana ninawaombeni watanzania wenzangu mkiwa mnabishana nao muwazoee sana maana wanatafuta sehemu ya kupunguzia hasira za ugumu wa maisha kule kwao
It's evidently clearly you don't even know where Kisumu is, leave alone setting a foot there.
 
Hapa EA hakuna nchi yenye matajiri wakubwa,uchumi imara na ulinzi madhubuti kama Tanzania…..juzi nilikuwa kisumu,kuna report article inasambazwa kuwa wapo juu kwenye electric accessibility kutuzidi sisi,aiseeh ninawaomba muwapuuzeni ni waongo sana hawa jamaa…….kenya hasa pale kisumu nzima umeme wa kenya power huwezi kuupata kirahisi bali ni special kwa shule na taasisi za umma lakini wananchi wanatumia solar sana kuliko hiyo kenya power………..Hawa ndugu zetu wanatia huruma sana ninawaombeni watanzania wenzangu mkiwa mnabishana nao muwazoee sana maana wanatafuta sehemu ya kupunguzia hasira za ugumu wa maisha kule kwao
🤣 🤣 🤣 you wish kenya ingekua na umeme wa mgao kama danganyika.
 
Hapa EA hakuna nchi yenye matajiri wakubwa,uchumi imara na ulinzi madhubuti kama Tanzania…..juzi nilikuwa kisumu,kuna report article inasambazwa kuwa wapo juu kwenye electric accessibility kutuzidi sisi,aiseeh ninawaomba muwapuuzeni ni waongo sana hawa jamaa…….kenya hasa pale kisumu nzima umeme wa kenya power huwezi kuupata kirahisi bali ni special kwa shule na taasisi za umma lakini wananchi wanatumia solar sana kuliko hiyo kenya power………..Hawa ndugu zetu wanatia huruma sana ninawaombeni watanzania wenzangu mkiwa mnabishana nao muwazoee sana maana wanatafuta sehemu ya kupunguzia hasira za ugumu wa maisha kule kwao
aa aaa aa wapi.!!.... porojo na umbeya mtupu! huo..

nani hana stima kisumu??... ata nyumba za bati na tope mashinani wanazo iweje jiji kubwa kama kisumu!??

nani hana stima kweli kenya kwa wakati huu🤔🤔

get serious @kijekitile.. just say the true. stop spreading lies just to please your fellow fox.

good enough, the fact still remain kenya, by far, has an upperhand in this sector in the region.! at 85% accessibility. and we are not about to change tht anytyme soon!!!


nb: lets get private here..
(eeh.. lakini ulionaje kisumu.. eeh..
si imeendelea sana kuliko majiji za kibongo.. mfano mwanza.. sio?.. ama?
fungua roho mtu wangu..... wacha uwoga na aibu..
aibisha shetani leo walai🖐🏾 mshikaji wangu)
 
Zinapita Chini, Mfano mzuri kabisa pale uhasibu flyover ukipita angalia vizuri, Lane mbili zimepita katikati vizuri kabisa.
plan haikuwa nzuri tangu mwanzo, BRT ikipita chini foleni ya TAZARA itazidi kuwa kubwa!
 
Kunyaland Wangeita Kisumu International Technical University 😆😆😆😆

Tunajenga Kama hizi Mikoa yote na Wilaya zote.

Here we go 👇


wizara_elimutanzania_1671422592474482.jpg
wizara_elimutanzania_1671422592474491.jpg
wizara_elimutanzania_1671422592474644.jpg
wizara_elimutanzania_1671422592474211.jpg
wizara_elimutanzania_1671422592473321.jpg
wizara_elimutanzania_1671422592474382.jpg
 
Back
Top Bottom