Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mtumba hio, hata model imepitisha miaka kumi, side by side na amg bandia. Nani hajui badge ya AMG hua on the left. Wabongo mutapunguza ushamba.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
images (10).jpeg
images (11).jpeg
images (12).jpeg
 
View attachment 2451734haya bass..
ruto alikua jana qatar🇶🇦 for worldcup finals, lakini hiyo sio hoja kwetu, sio issue hataa kidogo..
na hataa hatutaki kujua shughli zake ruto uko nje....


na try tu ku imagine, ingekua mama alizuru qatar🇶🇦 for worldcup finals!!🤔🤔 ile kelele ingekua hapa!....
yaani mama angekashifiwa ile mbaya!😠😠💥

nb:
ndomaana tanganyika hamuwezi endelea. mnataka mama akae tu nyumbani kamavile magafulu, na wala asitoke nje aka meet na potential investors, na ku gain motivation and inpiration, jinsi nchi zingine wameweza kufanya, ili pia alete hio maendeleo nyumbani..
mnafurahia sana akibaki tuu mashambani, na kua mshamba kwa kukaa tuu bongolala jinsi magafulu alivyo fanya.. 🤔🤔
Tzn Kuna mburula wengi wasiojitambua ndio maana huwa wanapiga makelele yasiyo na msingi..

Sasa hivi Rais akitaka kuondoka Wala hatoi statement Tena
 
aa aaa aa wapi.!!.... porojo na umbeya mtupu! huo..

nani hana stima kisumu??... ata nyumba za bati na tope mashinani wanazo iweje jiji kubwa kama kisumu!??

nani hana stima kweli kenya kwa wakati huu🤔🤔

get serious @kijekitile.. just say the true. stop spreading lies just to please your fellow fox.

good enough, the fact still remain kenya, by far, has an upperhand in this sector in the region.! at 85% accessibility. and we are not about to change tht anytyme soon!!!


nb: lets get private here..
(eeh.. lakini ulionaje kisumu.. eeh..
si imeendelea sana kuliko majiji za kibongo.. mfano mwanza.. sio?.. ama?
fungua roho mtu wangu..... wacha uwoga na aibu..
aibisha shetani leo walai🖐🏾 mshikaji wangu)
Hakuna mtu amefika Kisumu hapo. Most Tanzanians here claim to have been to Kenya but never trust them. Sasa mtu akisema Kisumu hakuna stima ni mtu wa kujadili naye kweli.
 
🤣🤣🤣🤣elimu imeingia sawasawa kwanza miliki hata probox kwanza alaf uje ukae tuongee sasa
AMG za bongolala zikona bumper ya c200, gari sio amg line na umejikaza kuprove point. Yani hata body inaonyesha tu gari ni stock. 🤣 🤣 🤣 C63 ikona single exhaust tip kama mazda demio.
 
AMG za bongolala zikona bumper ya c200, gari sio amg line na umejikaza kuprove point. Yani hata body inaonyesha tu gari ni stock. 🤣 🤣 🤣 C63 ikona single exhaust tip kama mazda demio.
tatizo sio c200 je ni ya mwaka gani ?? Ushawah uliza hilo swali 🤣🤣🤣🤣 tafuta probox alaf njoo tuongee mm na ww kuhusu european cars
 
Hio ulipost mbona ikona single exhaust tip? Kama ni bandia ni bandia stop forcing issues.
Kwani ikiwa na single exhaust ina tatizo gani 🤣🤣🤣 kwani manufacturer akiweka double exhaust na single kuna tatizo gani au ushamba tu
 
Kwani ikiwa na single exhaust ina tatizo gani 🤣🤣🤣 kwani manufacturer akiweka double exhaust na single kuna tatizo gani au ushamba tu
Tell me you know nothing about performance cars without telling me you don't know. 🤣🤣🤣 We ooooliskia wapi AMG C63 na single exhaust tip kama ya C200.
 
Tell me you know nothing about performance cars without telling me you don't know. 🤣🤣🤣 We ooooliskia wapi AMG C63 na single exhaust tip kama ya C200.
Tafuta probox alaf njoo tuongee sasa 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Tell me you know nothing about performance cars without telling me you don't know. 🤣🤣🤣 We ooooliskia wapi AMG C63 na single exhaust tip kama ya C200.
Nani kasema c63 ina single exhaust au unatafuta njia ya kuondokea 🤣🤣🤣🤣🤣 naona unazungusha maneno sikuelew
 
Back
Top Bottom