Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Nishakua mwarabu bandia kwani hasira hzo au 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
View attachment 2452130View attachment 2452131View attachment 2452132View attachment 2452133
Mwarabu bandia ju gari haina number plate hiamaanishi ni brandnew. 🤣 🤣 🤣 🤣


Image
Image
 
Okay leo nmesoma soma baadhi ya vitu kumhusu Kenyatta...Sijapitia indeep kuhusu Mau mau rebellions But from the fews that I came up with,Huyu mzee alikua ni snitch aliwauza kwa wazungu...There is no way unakua friendly to mtesi wako HOW..?
And the reason to why you guys are divided and easily manipulated is because of Him..
To hell, sijamuelewa....

So nikataka kujua why kenya is a slum capital the reason is mliuzwa,Kenyatta aliwasnitch Mau mau leaders kwa wazungu wakadinywa, a pure puppet Mazafakazi...

Someni vitabu achaneni na huu ujinga wa kubishana ujinga hapa,This real estates nonesense is divide n rule policy, ardhi ya maana yote walipewa watu wachache, Imagine nchi ina slum kila mkoa What the hell?... Nyerere was the big deal to Us more than most of us think....Wakenya mi nmemalizana nanyi leo,

My worries ni huyu no1 wetu na sera zake za wawekezaji nonesense...msimlee sana atatuuza mchana kweupe,Mpigeni pini mapema...

Natoka
Screenshot_20221219-213110_Chrome.jpg
 
Kosa la mwarabu kumiliki benz na bmw ndio kosa kubwa sana kuwahi kutokea 🤣🤣🤣 nimekwambia siku ukiweza miliki pikipiki nitafute tuongee kuhusu magari mzee wa AMG inakaa kushoto
Bado unaumia. 🤣🤣🤣 ju ya AMG bandia na BMW mtumba.
 
AMG inakaa kushoto 🤣🤣🤣🤣 kesho ntakupigia picha mpaka rim zina AMG ili uridhike tu roho yako
Kabisa kwa that specific unit inakaa kushoto. Enda showroom unionyeshe gari barndnew ya 2022 tumalize hii debate. 🤣 🤣 🤣
 
Kabisa kwa that specific unit inakaa kushoto. Enda showroom unionyeshe gari barndnew ya 2022 tumalize hii debate. 🤣 🤣 🤣
Leo umenichekesha sana na umedhihirisha ww ni mjuaji usiekua na hata baiskeli ya kusingiziwa hahaha kwanza miliki pikipiki alaf njoo tuongee basi 🤣🤣🤣🤣
 
Mwarabu leo amekua bandi 🤣🤣🤣🤣 aisee mara AMG inakaa kushoto mara exhause moja kaahhh hapo ulipo hujawah hata kusingiziwa baiskeli
Mwarabu bandia leo huna pakutorokea hadi unapost Toyota.🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom