Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Wahurumie kaka, labda ni kiingereza ulichotumia hakukielewa.
Siku hizi na nyie mnaitana kaka? Mmejifunza ustaarabu na utu wa kitanzania...baadaye msiache kuitana ndugu yangu mtaongeza upendo.

Mmezoea wewe kuja hapa, songa mbele, nipe sukuma wiki,patia chenji yangu haraka
 
U didn't get my point why I responded to your idiot countryman, watz walioko huku Kenya kwa wingi ni vijakazi, ama wanafanya kazi za chini sana, kama hawking, Kinyozi na boda boda riders, na omba omba wametapakaa.., nilikua nakanusha mijisifa hewa ya mwenzako ilhali wengi wanaikimbia nchi kukuja Kenya ama kuenda kwingineko kujitafutia hela..., sikusema tumefika ulimwengu wa kwanza, was busting the bubble ya mwenzako, misifa hewa, ilhali kwa ground ufukara ndio wimbo.., nyie ndio mko na kelele mingi na mbwembwe kwa lile halipo ama kama kipo ni kidogo to benefit all..., wacheni kelele, kueni wapole.,
Njoo Arusha uwaone ndg zako wanatunza maua kwa nyumba na kulisha ng'ombe, hivi kwa kiingereza ndio wanaitwa mameneja wa kitu gani vile? Maana inaonekana mnafanya kazi za kisomi kuanzia East Africa na duniani kote
 
Siku hizi na nyie mnaitana kaka? Mmejifunza ustaarabu na utu wa kitanzania...baadaye msiache kuitana ndugu yangu mtaongeza upendo.

Mmezoea wewe kuja hapa, songa mbele, nipe sukuma wiki,patia chenji yangu haraka
Wamezoea umanamba
 
Something like this haiezifanyika Tanzania.

20221206_202250.jpg
 
Sisi Wakenya hatuna tabia ya kuwabeza wasio jua Kiswahili kama nyinyi. Ninachocheka ni irony ya Mnyamwezi kumshangaa Mswahili akiongea Kiswahili sanifu.
Hao walamu wangewafunza na kueneza kiswahili nchi yote ya Kenya, hapa Tanzania hakuna sehemu isiyojua Kiswahili. Asili na matumizi sahihi siyo kigezo cha kutokuwa mahiri.
 
Back
Top Bottom