Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Naona pia waziri mwenye dhamana amepewa siku mbili aeleze kwanini JNIA inaendeshwa na kampuni ambayo haipo (KADCO ) badala ya TAA.
Hujaeleweka vyema hapa bosi JNIA inaendeshwa na TAA kwa asilimia 100!, Na upigaji unaozungumziwa hapo ni upigaji wa Immigration.Ni kweli swala la KADCO linahitaji ufafanuzi na sielewi kwa nini JPM hakulifanyia kazi moja kwa moja wkt alianza nalo toka akiwa waziri wa ujenzi.KIA ilirudishwa serikalini kisiasa tu ila utendaji wote ulibaki KADCO kama hakuna kilichotokea.Awamu ya 4,5 na ya 6.
 
Makenya ni mavivu yanasingizia jiografia

Dodoma inaongoza kwa kilimo cha zabibu..
Singida inaongoza kwa kilimo cha alizeti..

Wapo bze wanasema nature inatubeba, mbona Nairobi kijografia ipo na hali ya hewa nzuri kama ya Chuga lakini ndoivyo Vumbi kushoto kulia

Screenshot_20221105-153724.jpg
 
Makenya ni mavivu yanasingizia jiografia

Dodoma inaongoza kwa kilimo cha zabibu..
Singida inaongoza kwa kilimo cha alizeti..

Wapo bze wanasema nature inatubeba, mbona Nairobi kijografia ipo na hali ya hewa nzuri kama ya Chuga lakini ndoivyo Vumbi kushoto kulia

View attachment 2407598

Na wanasema wana elimu iliyo na ubora wa hali ya juu huku matatizo madogo kama kutumia changamoto kuwa fursa inaonyesha ni shida. Hawawezi kuzoa hata taka, Hawawezi kuwaza kitu kinachofaa kwa hiyo hali ya hewa na kugeuza fursa ? Shida nini mbona wanasema wana kipato kikubwa na ni Matajiri. Tajiri gani ana hali mbovu hivi
 
Na wanasema wana elimu iliyo na ubora wa hali ya juu huku matatizo madogo kama kutumia changamoto kuwa fursa inaonyesha ni shida. Hawawezi kuzoa hata taka, Hawawezi kuwaza kitu kinachofaa kwa hiyo hali ya hewa na kugeuza fursa ? Shida nini mbona wanasema wana kipato kikubwa na ni Matajiri. Tajiri gani ana hali mbovu hivi
Ujuaji wa mdomoni
 
Na wanasema wana elimu iliyo na ubora wa hali ya juu huku matatizo madogo kama kutumia changamoto kuwa fursa inaonyesha ni shida. Hawawezi kuzoa hata taka, Hawawezi kuwaza kitu kinachofaa kwa hiyo hali ya hewa na kugeuza fursa ? Shida nini mbona wanasema wana kipato kikubwa na ni Matajiri. Tajiri gani ana hali mbovu hivi
Wanajisifu wa think-tank wengi
 
Wanajisifu wa think-tank wengi
Wana kawaida ya matatizo yao kutupia watu wengine au kujihusish na mafanikio ya watu wengine

Mfano swala la ombaomba hko kwao waatupia lawama tz, yani ombaomba wa tz ana nauli yakwenda Kenya kuomba

Cheki swala la mahindi na mazao mengine, wanasema wao ndo wanalima hku Tz halafu wanajiuzia

Yani ilimradi wasionekane wajinga
 
Hoja yako ni ipi naona unaporomosha matusi tu

Nilifikiri ulichoandika chini sio matusi na mimi nikaona sio mbaya nikitumia maneno kama hayo kwako. Kumbe ni matusi if same words yakitumiwa kwako sio?

Acha kuwaita watu wapumbavu next time kwakua tu hukubaliani nao.
"Wewe unamatatizo sio bure," "Achana na huu upumbavu wako kabisa," "We kweli hamnazo"
 
Na wanasema wana elimu iliyo na ubora wa hali ya juu huku matatizo madogo kama kutumia changamoto kuwa fursa inaonyesha ni shida. Hawawezi kuzoa hata taka, Hawawezi kuwaza kitu kinachofaa kwa hiyo hali ya hewa na kugeuza fursa ? Shida nini mbona wanasema wana kipato kikubwa na ni Matajiri. Tajiri gani ana hali mbovu hivi

Nnchi zinazowapa msaada wa chakula ni nchi za jangwani. Wakenya ni wapumbavu wasio jijua, yaani wamepotoshwa na sifa za uongo wanazopewa na watu weupe.
 
Wana kawaida ya matatizo yao kutupia watu wengine au kujihusish na mafanikio ya watu wengine

Mfano swala la ombaomba hko kwao waatupia lawama tz, yani ombaomba wa tz ana nauli yakwenda Kenya kuomba

Cheki swala la mahindi na mazao mengine, wanasema wao ndo wanalima hku Tz halafu wanajiuzia

Yani ilimradi wasionekane wajinga
😂😂😂

Kenya ni moja ya mataifa ya Watu na viongozi wajinga mno! Ardhi yao wamekabidhi wazungu walimie chai, mirungi, kahawa na maua wakati wao wanakufa na njaa.
 
Back
Top Bottom