Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Tumeshamaliza ku expand hizo port za lake Tanganyika. Kigoma port na ile ya kule katavi sasa wiki hii tumesaini mkataba na kampuni ya china ku upgrade MGR toka kaliua mpaka mpanda kazi itahusisha kutengeneza tuta upya, kungoa na kutandika reli mpya yenye pound 80 yote continuous welded rail na speed ya train ya mizigo kwenye hii reli itakuwa equivalent na Kenyan pasengers train speed.
Ili mradi huu uwe na maana lazima Serikali iwakopeshe Pesa DRC wapanue Bandari Yao ya Kalemie,wajenge reli na Barabara kutoka hapo Kalemie hadi Lubumbashi..

Vinginevyo itakuwa mapambo tuu Kama zilivyi Bandari zingine 3 zilizokamilika ila Zina underperform tuu..
 
Huku mjini dar naona kila mtaa kila nyumba mbele kuna miti imepandwa. Miaka miwili nyuma hakukua na miti ya kiasi hiki nimeshangaa Sana

Kutoka Dar uswahilini kabisa mitaa inapendeza mdogomdogo tena wananchi ndo wanaitaka kila mtu anataka apande nyumbani kwake

Ndani ya mwaka mti unakupa kivuli.


photostudio_1669503145760.jpg
photostudio_1669490509545.jpg
photostudio_1669490308283.jpg
photostudio_1669490098880.jpg
photostudio_1669489983125.jpg
photostudio_1669489911398.jpg
photostudio_1669489819895.jpg
 
Ili mradi huu uwe na maana lazima Serikali iwakopeshe Pesa DRC wapanue Bandari Yao ya Kalemie,wajenge reli na Barabara kutoka hapo Kalemie hadi Lubumbashi..

Vinginevyo itakuwa mapambo tuu Kama zilivyi Bandari zingine 3 zilizokamilika ila Zina underperform tuu..
Nadhani ndio mpango uliopo sasa maana hata waziri wetu alikuwa DRC hivi majuzi tuu kukagua miundombinu ya huko inayo complement bandari zetu.
 
Kibaha ni very remote with no significant GDP, hakuna MTU wa kulipa expressway huko
Kumbe Masha akili yako ni ndogo namna hii?
Magari yanayotoka Dar yanatumia njia iyo ito kuelekea Moro na mikoa mingine kwahyo haohao ndio watalipia toll
 
Hapo Bro Inabidi Meli za kutosha ziwepo ili mizigo iwe inaenda Congo , Zambia , Burundi

Yaani mimi huwa nashangaa sana vile tunalaza damu, hakuna hata kilimo cha umwagiliaji cha maana kwenye haya maziwa yote seriously? Hakuna hata uvuvi wa Kisasa wenye tija, hakuna miundombinu ya utalii, hakuna biashara:. Yaani kama hili ziwa Tanganyika lipo tu na linakauka kwa Global warming , wenyeji kazi yao kubwa ni kufanya matambiko tu kwenye hilo ziwa
 
In every popular Hollywood series you must find a Kenyan. If you ever watched THE ORIGINALS you will obviously know Papa Tunde. This is a Kenyan by the name Owiso Odera, RIP to him.

20221127_094708.jpg
20221127_094625.jpg
images (7) (10).jpeg
 
Kumbe Masha akili yako ni ndogo namna hii?
Magari yanayotoka Dar yanatumia njia iyo ito kuelekea Moro na mikoa mingine kwahyo haohao ndio watalipia toll
Nyi endeleeni kucopy Kenya, heri hiyo expressway ingetoka airport hadi cbd towards bagamoyo road, could have made economic sense na ingepata clients ...msishindane na ndovu kunya, naona sgr tushawaeka chini mkijaribu kutucopy
 
Back
Top Bottom