Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

At long last their leaders have decided to tell them the truth😂😂😂. Trains za Tanzania ni za kawaidi tu and not high speed trains vile Hawa wajinga wamekuwa wakikazana mayo hapa😂😂😂


Geza Ulole bado mnaletewa Bureti traini ama vipi? 🤣 🤣 🤣
 

Attachments

  • 20221126_161224.jpg
    20221126_161224.jpg
    92.5 KB · Views: 12
Dah nimecheka sana yani wanategemea mgonjwa/Ukraine aache uji ili wanywe too bad
Kenya hata Somalia wakita wanaisaidia tu 😅😅😅

Imagine Ukraine inanyakuliwa provinces zake na Russia lakini bado njaa ya mkenya is the first foremost concern and kind of crisis to run into for than their dilapidated situation 🤣
 
Yani 180km sgr between dar-moro imelemea serikali ya Tanzania kabisa for 6 years? Kenya ilijenga 600km na miaka 3 pekee 2014-2017
Mradi ulianza 2017 alafu ni financed by GoT,kunakua na delays katika malipo Nk...Angalia phase II ilivyokimbia haraka, Lakini kwa sasa it's almost done...ukiona hadi trains zimeanza kufika ujue k2 kipo tayari kwa matumizi...
 
Mradi ulianza 2017 alafu ni financed by GoT,kunakua na delays katika malipo Nk...Angalia phase II ilivyokimbia haraka, Lakini kwa sasa it's almost done...ukiona hadi trains zimeanza kufika ujue k2 kipo tayari kwa matumizi...
Ati financed by who? Your SGR was full loan.🤣
 
Mradi ulianza 2017 alafu ni financed by GoT,kunakua na delays katika malipo Nk...Angalia phase II ilivyokimbia haraka, Lakini kwa sasa it's almost done...ukiona hadi trains zimeanza kufika ujue k2 kipo tayari kwa matumizi...
Uongo hakuna mradi wa sgr uko financed na GOK, nyinyi mmekopa pesa za kujenga SGR na hutaki kusema. Stupid maggot!
 
Back
Top Bottom