Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kisumu port expansion continues.
port-data.jpg
 
Yaani mimi huwa nashangaa sana vile tunalaza damu, hakuna hata kilimo cha umwagiliaji cha maana kwenye haya maziwa yote seriously? Hakuna hata uvuvi wa Kisasa wenye tija, hakuna miundombinu ya utalii, hakuna biashara:. Yaani kama hili ziwa Tanganyika lipo tu na linakauka kwa Global warming , wenyeji kazi yao kubwa ni kufanya matambiko tu kwenye hilo ziwa
BTW, are you aware that Lake Tanganyika contains 60% of all Africa's freshwater?
 
Nyi endeleeni kucopy Kenya, heri hiyo expressway ingetoka airport hadi cbd towards bagamoyo road, could have made economic sense na ingepata clients ...msishindane na ndovu kunya, naona sgr tushawaeka chini mkijaribu kutucopy
Kutoka Airport hakuna shida tushajenga flyover Tazara Junction na ingine chang'ombe junction...kutoka CBD kwenda Airport sahv ndani ya nusu Saa ushafika
20221127_124722.jpg
DJI_0024-720x405.jpg
 
At long last their leaders have decided to tell them the truth😂😂😂. Trains za Tanzania ni za kawaidi tu and not high speed trains vile Hawa wajinga wamekuwa wakikazana mayo hapa😂😂😂

 
a proud alumni of this institution..💘
i am wht i am coz of u..
i luv u to death!


Q-block (where i was) is the 'School of Architecture and Built Environment' whereas U-block is the 'Faculty of Civil Engineering'..... E-block is the 'Faculty of Electrical and Electronic Engineering'

Screenshot_20221127-005833.jpg
 
Back
Top Bottom