Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

“Ya Kisasa” Ndio hapi hayo?

What defines masafa marefu na mafupi?

Kwa hiyo haya mabehewa yalioletwa ni obsolete? If so, why purchase them in the first place?

Kwa mimi ninavyojua na kwa nilivyoona, haya ambayo kadogosa anaita masafa marefu ni zile treni zenye limited stops.
Kwa mfano unaenda dar - Dom inaweza simama moro, kilosa kisha Dom.
EMU zinatumika kwenye safari za kusimamasimama kila kituo, yaani fupifupi.
Lakini hata hivyo huko kwa wenzetu treni zao zina muundo mzuri, mfano virgin train ya UK inapiga safari ndefu pia
virgintrains2009b.jpg
 
Nyang’au wenzako wenye akili timamu wanakubali kuwa sgr ya Kenya mmepigwa na mchina. Sasa wewe sijui unataka kumdanganya nani.
Hatujapigwa na Mchina, tumepewa tulichotaka Ila tunakubali we could have done better. Shida yenu mnatuchekelea eti yetu ni mbovu ilhali hamna tofauti Kati ya mabehewa yetu na yetu. Yani nyani kuchekelea makalio ya nyani mwenziwe.
 
Airport kubwa ya 1.5M annual PAX? JNIA is among the smallest airports in East Africa kama hujui.
Weka passengers capacity ya JKIA na JNIA hapa tuone maneno mengi ya nini kijana. Hoja hupingwa kwa hoja.
 
Stop acting imbecile like your brother by avoiding the question. Ungetuletea jina ya airport ya pili kando na ile mabati rolling mills yenu. Secondly, how many passengers does that godown handle in a year compared to JKIA? If you can't answer these simple questions, then shut the hell up!!
Weka capacity ya Jomo Kenyatta na Julius Nyerer airports kwanza tuchambue.
 
“Ya Kisasa” Ndio hapi hayo?

What defines masafa marefu na mafupi?

Kwa hiyo haya mabehewa yalioletwa ni obsolete? If so, why purchase them in the first place?
Kuna Train Type aina Mbili

1.EMUs ambayo zinakuja kwa set zitakuwa 10 sets to start with ,like how i wrote in previous posts EMUs will be from Hyundai Rotem na dili linajulika, hizi ndo i think design itakuwa kama renders na watu watavifurahia zaidi(Hence the term KISASA)

2 Electric Locomotive Engines hizi zitakua zinavuta mabehewa , zitakuwa 17 nazo from Hyundai Rotem,

3.SGR wagons hizi zimekuwa ordered from varuous companies mfano hizo passengers wagons ambazo kila mtu hajavutiwa, nazo zimetoka SSRT company ya Korea nayo ambayo walipewa tender ya kutengeza 60 like those but Interiors ni tofauti(Classes), pia kuna Wagons za mizigo 1430 from China ,

Hizo wagons zitavutwa na Electric Locomotives Engines ambayo hata moja bado hatujaiona (I hope Rangi zitakuwa nzuri).

4.I hope pia the next orders of SGR psssenger wagons will be good than hizi za SSRT
 
Kwa mimi ninavyojua na kwa nilivyoona, haya ambayo kadogosa anaita masafa marefu ni zile treni zenye limited stops.
Kwa mfano unaenda dar - Dom inaweza simama moro, kilosa kisha Dom.
EMU zinatumika kwenye safari za kusimamasimama kila kituo, yaani fupifupi.
Lakini hata hivyo huko kwa wenzetu treni zao zina muundo mzuri, mfano virgin train ya UK inapiga safari ndefu pia
View attachment 2426800
Virgin safari ndefu ni Scotland tuu na hapo ni less than 500km hiyo bado ni short haul. Dar Kigoma ni 1600km hiyo ni long haul ili upate faida inabidi uwe na train ndefu kuliko EMU inayobeba abiria wengi na hapa ndio loco pulled trains inapohitajika na ndio dhumuni la kuingiza hizo behewa unazoona zinashushwa port.
 
Hatujapigwa na Mchina, tumepewa tulichotaka Ile tunakubali we could have done better. Shida yenu mnatuchekelea eti yetu ni mbovu ilhali hamna tofauti Kati ya mabehewa yetu na yetu. Yani nyani kuchekelea makalio ya nyani mwenziwe.
Behewa zetu ni high speed na zina HVAC system. Behewa yenu ikiwekwa kwenye sgr Tanzania ikipelekewa moto wa 160kph lazima vyuma huko chini kwenye matairi viachie maana imekuwa designed for sluggish movement.
 
Virgin safari ndefu ni Scotland tuu na hapo ni less than 500km hiyo bado ni short haul. Dar Kigoma ni 1600km hiyo ni long haul ili upate faida inabidi uwe na train ndefu kuliko EMU inayobeba abiria wengi na hapa ndio loco pulled trains inapohitajika na ndio dhumuni la kuingiza hizo behewa unazoona zinashushwa port.
Pia they are cheaper to produce than EMUs and they can be easily elongated depending on routes plus hizi zitakuwa hazisimami ovyo , lazima kuwe na SGR passenger wagons , kwa upande wangu sijapenda design ya colors ila ndo ishatokea
 
Behewa zetu ni high speed na zina HVAC system. Behewa yenu ikiwekwa kwenye sgr Tanzania ikipelekewa moto wa 160kph lazima vyuma huko chini kwenye matairi viachie maana imekuwa designed for sluggish movement.
Wewe nilikuambia hujaenda shule na ni mjinga so from now I won't engage you. I engage people who have a brain.
 
Back
Top Bottom